Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

pita kilumile , chief kidulile sec school 2005-2008
kicheche tematema haule mzumbe high school 2009-2011
logatusi shotta nkwera malangali high school 2006-2009
lihengelo ludewa sec school 2001-2006
mchambuzi, malangali sec shool 2010-2012
 
Asajile Bansilile Mwakalindile - Uhuru mchanganyiko PS Opp na TBL LY 1985 sijui yupo wapi sasa

Ndekamfoo Ndefoo Shoo - KiliBoys Sec School 1989
Asa ni my bro yuko Ipinda.
 
Galikunga Galamwenda ardhi university student mwaka wa nne sasa. Na Kitenana Kitabuka, amehitimu hapo.
 
Ndiiye Siiye, binti wa kimasai alikimbia kuolewa kwa lazima nakumbuka nililuwa naye kambi ya umitashumta 1996 na baadaye akajiunga nashule ya wasichana ya korogwe-tanga.
 
Nilisoma na GOGOMOKA MISALABA Minaki Sec School 1995 - 1997 yeye akiwa nyuma yangu mwaka mmoja...Nimefurahi kulisikia tena jina lake leo. Sijui yupo wapi sasa!

..mungu atamijalia mtaonana kama ypo hai...
 
Back
Top Bottom