Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Kuna kina fogeti cahakupewa.........mbazi chakubanga,wote hawa ni members humu though wanatumia monikers na avatar za hook.
 
Bi.LYAFUFIFYE ANYAMBILILE[/B] classmate wangu 2006 Sec School.....I MISS HER KWAKWELI
 
Nyaogamba ngemba rugatire. Mhitimu wa kidato cha sita. Kibohehe sec 1998
 
Kesi Hukumu Sheria,coplo JWTZ Ali Khamis Camp,14KJ,PEMBA.(na mchezaji wa kutegemewa Hard Rock Fc).
 
Luge Lufulondama Nteminyanda shagihiru

muhitimu o-level pale Goldenrule secondary 2006
 
Kung'ombe Chacha Mrema Sukari Mohiri Obareee!mtuma salamu maarufu wa Redio moja kanda ya ziwa

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Enzi hizo RTD
Tumbo Risasi. (Majira)
Simba Nyamaume. (Majira)
Penzi Nyamangumi(Fundi mitambo)
Mshindo Mkeyenge (Michezo)
Buyago izengo wa kadago(wakati wa kazi)
Ananilea Nkya (Twende na wakati)
 
Back
Top Bottom