TOP 10 makapuku tishio JF

Unatumia app au web....
Tangu asubuhi app haipatikani nahisi mambo ya Fisiemu kuhusu "uchafuz"i wa Zenji ...web ngumu kutumia
Nilikuwa matembezi, ndo nimerudi jioni hii ila haikunisumbua hata kidogo.
 
[QUOTmaana
mena, post: 15629633, member: 294409"]Nilikuwa matembezi, ndo nimerudi jioni hii ila haikunisumbua hata kidogo.[/QUOTE]
Sawa mwana
Me cjazoea kutumia web ndo maana nipo kimya
 
[QUOTmaana
mena, post: 15629633, member: 294409"]Nilikuwa matembezi, ndo nimerudi jioni hii ila haikunisumbua hata kidogo.
Sawa mwana
Me cjazoea kutumia web ndo maana nipo kimya[/QUOTE]
Jizoeshe sasa, Rais unakuwaje kimya?
 
[QUOTE="rubii, post: 15629135, member: 2753in a change d =321932]Bitoz[/USER] mbona mie no yangu 4 hujanimention?
Kasome cku niliyoweka list....kumbuka list inachange daily.........
Nakuona upo 10+[/QUOTE]


Leo unaandika huku umelewa ama?
 
Kasome cku niliyoweka list....kumbuka list inachange daily.........
Nakuona upo 10+


Leo unaandika huku umelewa ama?[/QUOTE]
App haipatikani so natumia web inasumbua
 
Mimi mbona naitumia app iko poa kabisa
Kwangu tangu asubuhi haipatikani...natumia web ndo maana natype magumashi labbda nimekula ban[/QUOTE]
Duuuh pole Rais wa makapuku
 
Ha ha haa polee
Kitu tyr...nimeclear data
Leteni mastory
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][/QUOTE]


Msimu mpya wa miss tanzania umeanza inakuaje pande za kitaani kwetu huku
 
Kuna mchezo mchafu nini..........
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…