Top 10 ya magari yaliyouzwa sana Duniani 2024 (hadi sasa Nov), China ameingiza makampuni mawili!

Top 10 ya magari yaliyouzwa sana Duniani 2024 (hadi sasa Nov), China ameingiza makampuni mawili!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Speed ya China kwenye sekta ya magari inazidi kutishia ulimwengu.
IMG_0690.png

Pamoja na vikwazo vingi alivyowekewa nchi za magharibi na Marekani, bado jamaa anaendelea kutusua, na sasa ameingiza makampuni mawili kwenye top 10.
IMG_0689.jpeg

Kuanzia BYD, ambayo imeshika nafasi ya 6 na inazidi kupanda kwa kasi ya ajabu sana.

Na kampuni la pili ni Geely ambayo iko nafasi ya 9 imemtoa mchezoni Suzuki.

Wakongwe Toyota Honda Nissan nk mauzo yao yanashuka ukicompare na mwaka jana, muda kama huu.
 
Speed ya China kwenye sekta ya magari inazidi kutishia ulimwengu.
View attachment 3159045
Pamoja na vikwazo vingi alivyowekewa nchi za magharibi na Marekani, bado jamaa anaendelea kutusua, na sasa ameingiza makampuni mawili kwenye top 10.
View attachment 3159042
Kuanzia BYD, ambayo imeshika nafasi ya 6 na inazidi kupanda kwa kasi ya ajabu sana.

Na kampuni la pili ni Geely ambayo iko nafasi ya 9 imemtoa mchezoni Suzuki.

Wakongwe Toyota Honda Nissan nk mauzo yao yanashuka ukicompare na mwaka jana, muda kama huu.
Copy and pest same sale at low price using low quality material 👌
 
Speed ya China kwenye sekta ya magari inazidi kutishia ulimwengu.
View attachment 3159045
Pamoja na vikwazo vingi alivyowekewa nchi za magharibi na Marekani, bado jamaa anaendelea kutusua, na sasa ameingiza makampuni mawili kwenye top 10.
View attachment 3159042
Kuanzia BYD, ambayo imeshika nafasi ya 6 na inazidi kupanda kwa kasi ya ajabu sana.

Na kampuni la pili ni Geely ambayo iko nafasi ya 9 imemtoa mchezoni Suzuki.

Wakongwe Toyota Honda Nissan nk mauzo yao yanashuka ukicompare na mwaka jana, muda kama huu.
Naona wafadhili wa vita wameshuka mauzo
 
Atuletee hizo EV hasahasa hybrid tuzinunue 0km sie........ gari ziwe kama bodaboda tu.


Kwenye issue ya kodi hata ikishuka isipungue sana maana watu wa magari wanatumia sana kodi za nchi kujengewa mabarabara. Lazma walipe kodi ni haki kabisa, kama unabisha nenda kaangalie sehemu barabara inajengwa mpya uone idadi ya mifuko ya simenti ilivyotandazwa nani ATAILIPIA?
 
If the West had the same amount of People as China even half of China, China would never have matched them at anything
Na walivyo hawana akili wanashadadia kutoa mimba na kutozaa.

Elon anajua factor kubwa inayoibeba china ni population, ndio maana anatumia nguvu kubwa sana kuwashawishi watu wazae zaidi na kuwaonesha mfano, yeye kafyatua 12 na anasema anaendelea
 
daah! hiyo ya kununua 0 km kwa walio wengi naona itabaki kuwa ndoto na matamanio tu..nafikiri kikwazo unakijua nchi hii wapi tutakwama
Sasa kama mtu anamudu kununua Harrier 3rd Generation ya 80M na ni mtumba. Au Range Rover 4th Generation zile za 145-150M na ni mtumba atashindwaje kununua gari ya $25000 ikiwa mpya.
 
Atuletee hizo EV hasahasa hybrid tuzinunue 0km sie........ gari ziwe kama bodaboda tu.


Kwenye issue ya kodi hata ikishuka isipungue sana maana watu wa magari wanatumia sana kodi za nchi kujengewa mabarabara. Lazma walipe kodi ni haki kabisa, kama unabisha nenda kaangalie sehemu barabara inajengwa mpya uone idadi ya mifuko ya simenti ilivyotandazwa nani ATAILIPIA?
😂😂😂😂😂😂😂 Endelea kuota, kodi ni kwa ajili ya starehe za viongozi wa Chama. Sio lami
 
😂😂😂😂😂😂😂 Endelea kuota, kodi ni kwa ajili ya starehe za viongozi wa Chama. Sio lami
Viongozi wanafaidi stahiki zao (labda na zaidi kidogo marupurupu) ambayo ni haki yao, mtenda kazi anastahili kulipwa ujira wake.

Lakini zaidi ndizo zinajenga mabarabara na miundombinu mingine tunayoiona. Ni uongo kung'ang'ana kwamba kodi zote zinaenda chamani. Serikali ni watu.
 
Nakumbuka target ya kampuni ya Huawei ilikuwa ni kuwa namba moja ikifika 2022 mwisho wa siku walipigwa vikwazo vikali.
Baada ya miaka 5 mbele wachina wataongoza duniani kwenye uuzaji magari

Leo hii Tanzania tumesahau mabus na malori ya ulaya Japan.
Huyo anar kuuzia cheap ana wateja wake anae wauzia kwa bei mbaya but quality zaidi. And si kweli malori ya ulaya yamesahaulika

Depends na mfuko wa muhusika
 
Back
Top Bottom