Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Bila wasukuma nchi hii ingekuwa ba mapori kama msitu wa congo, badala huwashukuru unasema tabu tena😂😂😂Kuishi na Wasukuma ni kazi sana,iwahujumu Kwa lipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila wasukuma nchi hii ingekuwa ba mapori kama msitu wa congo, badala huwashukuru unasema tabu tena😂😂😂Kuishi na Wasukuma ni kazi sana,iwahujumu Kwa lipi?
Sio kosa laoni serikali yenu haitaki kupeleka umeme.Singida na Tabora ni ukubwa Wa bure, wanyantuzu Huko simiyu Naona Bado vibatari vinatawala.
Mnatumia kumulikia migomba.Kwahiyo sisi Kilimanjaro ndio wa 11? Yani umeme wetu tunatumia kuwashia taa tu? Dah
UpuuziBila wasukuma nchi hii ingekuwa ba mapori kama msitu wa congo, badala huwashukuru unasema tabu tena😂😂😂
Kati ya msitu na jangwa bora nini,wameigeuza nchi kuwa jangwaBila wasukuma nchi hii ingekuwa ba mapori kama msitu wa congo, badala huwashukuru unasema tabu tena😂😂😂
Upuuzi wakati wasukuma wamejaa huko kusini na wanataka kuchukua ardhi yenu yote na bado unawaita wapuuzi, simba mwenda pole ndio mla nyama siku mkija kushtuka usingizi mtakuta hamna chenu tena.Upuuzi
Msukuma huwa hakai jangwani huwa anapatikana sehemu zenye rutuba, sehemu zenye rutuba msukuma huwa hakosi, jangwani wapo wagogo, masai na watu wanaofanana nao.Kati ya msitu na jangwa bora nini,wameigeuza nchi kuwa jangwa
Wanafyeka miti sana wakishamaliza kufyeka wabahama mkoa,pumbavu sana,geita ,kahama,runzewe,tabora miti yote imekwishaMsukuma huwa hakai jangwani huwa anapatikana sehemu zenye rutuba, sehemu zenye rutuba msukuma huwa hakosi, jangwani wapo wagogo, masai na watu wanaofanana nao.
🗑️🗑️Upuuzi wakati wasukuma wamejaa huko kusini na wanataka kuchukua ardhi yenu yote na bado unawaita wapuuzi, simba mwenda pole ndio mla nyama siku mkija kushtuka usingizi mtakuta hamna chenu tena.
Miti kufyeka ilikuwa ni zama za zamani walikuwa wanakata miti na manyasi kuhepuka mbung'o(tsetse fly)Wanafyeka miti sana wakishamaliza kufyeka wabahama mkoa,pumbavu sana,geita ,kahama,runzewe,tabora miti yote imekwisha
Umetoka lini kanda ya ziwaMiti kufyeka ilikuwa ni zama za zamani walikuwa wanakata miti na manyasi kuhepuka mbung'o(tsetse fly)
Wengine wanakata miti ili wapate maeneo ya kulimia, mashamba n.k japo sio jambo zuri, Mwanza na kagera tunajitaidi kupanda miti na miji inaonekana ya kijani sana.Umetoka lini kanda ya ziwa
Kagera wanapanda sana pine ila wasukuma hawapendi miti wanakata sana miti ila spidi ya kupanda sio nzuriWengine wanakata miti ili wapate maeneo ya kulimia, mashamba n.k japo sio jambo zuri, Mwanza na kagera tunajitaidi kupanda miti na miji inaonekana ya kijani sana.
Ila Dar lipo!!?Mikoa ya kimkakati Kwa viwanda ni Shinyanga,Tanga,Arusha,Pwani,Dar, Morogoro na Mbeya.
Mikoa mingine hiyo inabebwa na migodi kama Shinyanga na Mara.
Lakini ukweli unabakia pale pale Mwanza sio Mkoa wa Viwanda na Wala hauna eneo la kutosha kujenga Viwanda.
Umeme wenu ni WA kusikilizia Lucky Dube migombani......Kwahiyo sisi Kilimanjaro ndio wa 11? Yani umeme wetu tunatumia kuwashia taa tu? Dah
Kwenye kukata miti tu Wasukuma wako vizuri wanakata Kwa spidi ya hatari ..ila saaasaa kupanda miti napo ni mtihani kwelikweli.....Miti kufyeka ilikuwa ni zama za zamani walikuwa wanakata miti na manyasi kuhepuka mbung'o(tsetse fly)
Mnaposema chanzo ni NBS na Tanesco muwe mnaweka na link au taarifa mliyonukuu sio kujisemesha tuu,,where is reference?1.Dar es Salaam-2,805.9 GWH
2.Pwani-635.7GWH
3.Arusha-413.9 GWH
4.Shinyanga-411.2 GWH
5.Tanga-408.7 GWH
6. Mwanza-344.5 GWH
7. Morogoro-307.5 GWH
8.Dodoma-249.3 GWH
9.Mbeya-231.5GWH
10.Mara-215.1 GWH
Chanzo: TANESCO/NBS