mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mleta mada point yake ni Mali tunazo ila akili ndiyo hivyoooUelekeo wa uzalishaji mali vichwani mwa viongozi nao wakibadilika basi tutapiga hatua kwenda mbele, tukubaliane sasa kilimo hasa organic kitiliwe mkazo ili tuuze vyakula vyetu masoko ya ulaya kwa thamani kubwa maana hizo mbolea wenye pesa hawali vyakula vya mbolea hovyo
Ova