Top 10 ya nchi zenye utajiri wa madini Afrika, Tanzania haipo

Top 10 ya nchi zenye utajiri wa madini Afrika, Tanzania haipo

Kuzalisha na kuwa na hifadhi ya madini nadhani ni vitu viwili tofauti...unaweza ukawa na madini mengi lakini huzalishi vizuri
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?


Na wewe kwa akili zako unasemaje? Hayo wanayosema ni kweli????
Can you share hilo jarida?
 
Wataalamu wanasema mpaka muda huu Tanzania imeshachima asilima 10% tu ya madini yote, na karibia nchi nzima ina mali kiasi kwamba ukitaka uchimbe kila kitu itabidi uwahamishe watu baadhi ya maeneo. Pale Mwadui zilipo nyumba za mgodi, inasemekena pale kuna mali imetulia
Takwimu kama hizo zinawekwa wazi kisiasa tu, kwa malengo ya yule anayezitangaza. Ni sawa na miaka ile ya tisini katikati takwimu zikasema Nigeria ina watu milioni 150 wakati ukweli ni kuwa hawakufika hata milioni 120 ni lengo fulani la kisiasa ambalo huja kujulikana miaka kadhaa ikiwa imeshapita.
 
Takwimu kama hizo zinawekwa wazi kisiasa tu, kwa malengo ya yule anayezitangaza. Ni sawa na miaka ile ya tisini katikati takwimu zikasema Nigeria ina watu milioni 150 wakati ukweli ni kuwa hawakufika hata milioni 120 ni lengo fulani la kisiasa ambalo huja kujulikana miaka kadhaa ikiwa imeshapita.
Waliowahi kunipa hizi takwimu ni wataalamu waliobobea; siyo wanasiasa na hayupo mtaalamu mwingine yeyote aliye ndani au nje ya nchi yetu anayeweza kuwazidi uelewa wataalamu hawa
 
Waliowahi kunipa hizi takwimu ni wataalamu waliobobea; siyo wanasiasa na hayupo mtaalamu mwingine yeyote aliye ndani au nje ya nchi yetu anayeweza kuwazidi uelewa wataalamu hawa
Tuna utajiri mwingi sana wa madini hapa Tanzania kuliko hizo takwimu. Geologist wa kweli atakwambia juu ya ukweli huo.
 
Zimbabwe lithium inawabeba, congo ni madini aina zote tu, Angola, Nigeria, Algeria, Egypt, hao mafuta yanawabeba pamoja na cobalt, lakini huwezi sema Tanzania haina utajiri maana Uranium ya dodoma na singida bado, Nickel ya ngara bado, Lithium ya tukuyu bado unajikatiaje tamaa?
Uranium mbona ni madini yenye thamani ndogo sana pamoja na kwamba ni mali ghafi ya kutengenezea silaha za nuklia pamoja na uzalishaji wa nishati ya umeme.
 
Tuna utajiri mwingi sana wa madini hapa Tanzania kuliko hizo takwimu. Geologist wa kweli atakwambia juu ya ukweli huo.
Mkuu kwanza aseme kama ni geologist tuanze kushusha hoja za kijiolojoa Kwa nini Tanzania Ina utajiri wa madini, lakini kama sio geologist ngoja tumuache aendelee kuamini alichokisoma kwenye chapisho lake.
 
Mkuu kwanza aseme kama ni geologist tuanze kushusha hoja za kijiolojoa Kwa nini Tanzania Ina utajiri wa madini, lakini kama sio geologist ngoja tumuache aendelee kuamini alichokisoma kwenye chapisho lake.
Shusha nondo mkuu na sisi tufaidike ambao siyo geos, anza na migod mikubwa, kiasi cha madini(reserve) na LOM, kwa kuanzia.
 
list inaongelea natural resources, mleta mada anaongelea madini pekee, wakati kiuhalisia madini ni sehemu tu ya natura resources, sijui naeleweka?
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?


Kwa hiyo kama haipo hapo kwenye Listi yako....!

Hitimisho lako ambalo hujaandika ni kwamba tunastahiri kuwa Masikini..!!!
 
Kwa hiyo kama haipo hapo kwenye Listi yako....!

Hitimisho lako ambalo hujaandika ni kwamba tunastahiri kuwa Masikini..!!!
Sisi tutakuwa fukara kabisa.Kama hao wa kwenye top ten ndio wamechoka hivyo vipi sisi ambao hatumo kwenye list
 
Tanzania ni nchi ya kawaida sana hapa Afrika na dunia kwa ujumla ni vile tu Watanzania hatuna desturi ya kufuatilia mambo kwa undani na huu Uzi sababu umekwenda na takwimu unawatoa watu jasho,maana wanapenda zile stories za vijiweni vya kahawa za "unaambiwa,inasemekana"nk"
 
Back
Top Bottom