Top 10 ya nchi zenye utajiri wa madini Afrika, Tanzania haipo

Top 10 ya nchi zenye utajiri wa madini Afrika, Tanzania haipo

Barrick na resolute,ggm wanatumia sululu!?..na kule songosongo yanatumika masululu pia!?..umetahiriwa!?
Hiyo migodi ya Barrick wewe kwako unaona ni Kati ya migodi mikubwa Afrika au Duniani?

Walikuta terms rahisi wakaingia ila mungeweka terms ngumu wangewaachia Bora wakaweke Nguvu wanakoweza chuma miaka 100 na kuendelea.
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

South Africa
Nigeria,
Nigeria,
Angola,
Libya,
Egypt,
Ghana,
DR Congo,
Gabon,
Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?

Hao wamepata data kutokana na export za madini kwa mwaka kwenda nje katika nchi hzo.. sasa hapa bongo uwekezaj ni mdogo sabab ya sheria za kikuda zisizo na msinh.. ndomana wastan wa ku export madin ni mdogo... Wenyew wanakwambia bora yaozee chini.
 
Hao wamepata data kutokana na export za madini kwa mwaka kwenda nje katika nchi hzo.. sasa hapa bongo uwekezaj ni mdogo sabab ya sheria za kikuda zisizo na msinh.. ndomana wastan wa ku export madin ni mdogo... Wenyew wanakwambia bora yaozee chini.
😁😁😁😁 Uwekezaji ni mdogo Sasa Kwa nini wasiwekeze kama Kuna Madini ya kutosha?

Tanzania inaweza izidi nini Nchi kama Gabon? Ukiacha mafuta,almasi nk Kuna timber industry ya kufa mtu.
 
Gesi ni madini wewe kilaza??
Congo Ina Madini ila sio kuzizidi hizo Nchi tajwa..

Algeria ndio Ina gas asilia nyingi kushinda Nchi zote hapa Afrika na inafanya utaratibu wa kulisha Ulaya, yaani Iko top 10 ya Dunia.

Sasa Congo itaisidi nini Nigeria? Copper na Cobalt au?
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?


Shuleni kwenu ulifundishwa kwamba namba huishia kumi(10)tu?
 
Kama na Congo imeponea chupuchupu kuwepo kwenye list halafu bado uniambie niiamini hiyo data
Kama na Congo imeponea chupuchupu kuwepo kwenye list halafu bado uniambie niiamini hiyo data


Fake


Hata Uganda Hapo na ninavyojua

Madini ni hazina nchi zinahifadhi for future
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?

Nadhani hapa tunazidiwa na wingi wa deposits, lakini kwa varieties za madini sisi tunazo nyingi, na pia huenda madini yetu yametawanyika sana kama ni dhahabu haipatikani kwa wingi kwenye eneo moja, na hiyo kwa gharama za uchimbaji haileti tija sana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Mleta mada unatetea kitu usicho kijua wao wanasema top 10 ya nchi zinazo zalisha madini
kuna tofauti kati ya kuwanacho na kuzalisha Congo inamadini mengi ila uzalishaji ndio hafifu na unajua kabisa tatizo ni ukanda wenye madini ndio unamigogoro yakimapigano

Hiyo naomba uichukulie kama Mfano na kwanchi nyingine
 
Nadhani hapa tunazidiwa na wingi wa deposits, lakini kwa varieties za madini sisi tunazo nyingi, na pia huenda madini yetu yametawanyika sana kama ni dhahabu haipatikani kwa wingi kwenye eneo moja, na hiyo kwa gharama za uchimbaji haileti tija sana

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sasa deposits ndio kitu Cha maana,Sasa hata Ukiwa na varieties ambazo sio commercial inakusaidia nini?

Unaweza kusanya varieties zako zoote lakini usifikie thamani ya aina Moja tuu ya Madini ya mwenzio Sasa hiyo ni kama huna kitu unabangaiza tuu.
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?


kajiongeze bwanamdogo, kwa upumbavu wako huo utadanganywa na kila mtu.
 
Mleta mada unatetea kitu usicho kijua wao wanasema top 10 ya nchi zinazo zalisha madini
kuna tofauti kati ya kuwanacho na kuzalisha Congo inamadini mengi ila uzalishaji ndio hafifu na unajua kabisa tatizo ni ukanda wenye madini ndio unamigogoro yakimapigano

Hiyo naomba uichukulie kama Mfano na kwanchi nyingine
Congo hujaiona kwenye top 10?

Tanzania ina Madini yapii yenye deposits kubwa ya kuingia kwenye List? Ukiacha uzalishaji? Utazilisha ambacho huna?
 
Back
Top Bottom