Top 10 ya nchi zenye utajiri wa madini Afrika, Tanzania haipo

Top 10 ya nchi zenye utajiri wa madini Afrika, Tanzania haipo

Acha hadithi wewe,Madini ya kubangaiza na wachimba sululu wakitorosha ni sawa..

Tanzania ina Madini ya kubangaiza bangaoza ndio maana inabembeleza investors ila tungekuwa nayo wangejileta wenyewe kama hizo Nchi zingine.
Hujui ila unajikuta unajua, uliza tulopitia kazi ya madini!! Nyie ndiyo mnaifelisha nchi kwa ujuaji wakijinga sasa kaa na ujinga wako
 
1678197358720.png

ukweli mchungu..Tanzania kawaida sana kwa hii list
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?


Kuna Utofauti baina ya "Mineral producing" na "Mineral reserve"

Inawezekana nchi ikawa na madini machache ila ina technology kubwa ikachimba mengi kwa haraka

Ukiangalia Hio list nchi nyingi za Juu Zina Mafuta ama Technology.

Tanzania Kuna madini hata hayachimbwi mfano mchuchuma, na ni Nchi ya 4 Africa kwa Dhahabu, pia Nchi pekee Duniani Yenye Tanzanite, Nchi pekee Africa Yenye Maziwa yote Makubwa, Kuna Almasi, Shaba na Rasilimali nyengine kibao.
 
Hebu muelewe ni kwamba hizo nchi wazungu au walitoa hizo takwimu wamepata nafasi za kuchunguza ila kwetu ardhi kubwa haijafanyiwa uchunguzi.

Pia wanavigezo lbd kuangalia mauzo ya nchi lkn huku zinapeperushwa nchi nyenginezo na sifa wanapata wao.
 
Wataalamu wanasema mpaka muda huu Tanzania imeshachima asilima 10% tu ya madini yote, na karibia nchi nzima ina mali kiasi kwamba ukitaka uchimbe kila kitu itabidi uwahamishe watu baadhi ya maeneo. Pale Mwadui zilipo nyumba za mgodi, inasemekena pale kuna mali imetulia
Kumbe mambo ya kusemekana. Tanzania ina madini ya kawaida sana, hata haina mafuta ya kutisha na kwenye gesi vilevile haipo top 5 ya nchi zenye reserve kubwa ya gesi.
Mambo ya unaambiwa, inasemekana hayajawahi kuwa facts
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?


Nadhani umeshindwa kujua hiyo orodha ya nchi inahusu nini hasa!

Ni kwamba hukusoma vizuri kichwa cha habari ukakielewa kinahusu nini:

Kinasema "Mineral Producing Countries"

Pamoja na kwamba tayari nasi tunatoa madini, lakini kiwango chake hakijafika kwenye kiwango kinachaangaliwa na hiyo wanayoiangalia hao waliyoleta hao waliyoileta hiyo taarifa.

Sisi bado hatujachimbua gesi na kufaidika nayo.

Nchi kama Msumbiji, wakiweza kutumia gesi ile vizuri na kuingiza pato, huwezi kuona wakiwa nje ya orodha hiyo

Lakini utajiri wa nchi hautokani na madini pekee. Nchi kama Korea Kusini hawana madini, lakini ni matajiri.
Sisi hapa kutegemea madini kujigamba kwa utajiri ni kukosa akili kichwani. Tunayo fursa kubwa sana kuwa matajiri kwa kutumia ardhi yetu vizuri, lakini viongozi wetu hawalioni hilo.
Wanachokiona wao zaidi ya chochote, ni kutembea duniani tukiwalilia watu toka huko nje waje hapa kutuletea maendeleo!
Hii ni akili ya ajabu sana.
 
Ndio Zenye Madini hizo nyie wengine ni wababgaizaji..

Pale Zimbabwe Mchina Katia Mgodi wa Til.4 wa Lithium,Tanzania una Mgodi upi wa thamani hiyo Kwa mfano?
Unasema kweli hayo ya Zimbabwe na hiyo Tr4?

Hii inaweza kuwa sababu kwa nini hao wengine wamekazana na kuiwekea vikwazo vya kiuchumi!
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?


Kwani hiyo orodha unajua nani katengeneza? Unajua tofauti ya kutoa/kuzalisha madini kwa wingi na kua na madini kwa wingi?
Sasa cheki orodha ya nchi zenye madini kwa wingi utaona tanzania kwenye namba 8. Ikiipita botswana kwenye namba 9. Pia tanzanite ikitajwa kupatikana tanzania peke yake.
 
Kumbe mambo ya kusemekana. Tanzania ina madini ya kawaida sana, hata haina mafuta ya kutisha na kwenye gesi vilevile haipo top 5 ya nchi zenye reserve kubwa ya gesi.
Mambo ya unaambiwa, inasemekana hayajawahi kuwa facts
Wataalam wanaokuzidi wewe utaalamu ndiyo walwahi KUNIAMBIA hivyo, NDIYO MAANA nikatumia NENO inasemekana kwa sababu mwenye proof siyo mimi
 
Back
Top Bottom