ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #21
Hiyo migodi ya Barrick wewe kwako unaona ni Kati ya migodi mikubwa Afrika au Duniani?Barrick na resolute,ggm wanatumia sululu!?..na kule songosongo yanatumika masululu pia!?..umetahiriwa!?
Hao wamepata data kutokana na export za madini kwa mwaka kwenda nje katika nchi hzo.. sasa hapa bongo uwekezaj ni mdogo sabab ya sheria za kikuda zisizo na msinh.. ndomana wastan wa ku export madin ni mdogo... Wenyew wanakwambia bora yaozee chini.Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?
Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo
South Africa
Nigeria,
Nigeria,
Angola,
Libya,
Egypt,
Ghana,
DR Congo,
Gabon,
Zimbabwe.
Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.
Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?
😁😁😁😁 Uwekezaji ni mdogo Sasa Kwa nini wasiwekeze kama Kuna Madini ya kutosha?Hao wamepata data kutokana na export za madini kwa mwaka kwenda nje katika nchi hzo.. sasa hapa bongo uwekezaj ni mdogo sabab ya sheria za kikuda zisizo na msinh.. ndomana wastan wa ku export madin ni mdogo... Wenyew wanakwambia bora yaozee chini.
Congo Ina Madini ila sio kuzizidi hizo Nchi tajwa..
Algeria ndio Ina gas asilia nyingi kushinda Nchi zote hapa Afrika na inafanya utaratibu wa kulisha Ulaya, yaani Iko top 10 ya Dunia.
Sasa Congo itaisidi nini Nigeria? Copper na Cobalt au?
Gesi sio Madini ni nini mtaalamu wa Chademo?Gesi ni madini wewe kilaza??
Shuleni kwenu ulifundishwa kwamba namba huishia kumi(10)tu?Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?
Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo
1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.
Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.
Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?
Unaelewa maana ya top 10? Kwa taarifa Yako hata top 20 Tanzania haimo.Shuleni kwenu ulifundishwa kwamba namba huishia kumi(10)tu?
Unaelewa maana ya top 10? Kwa taarifa Yako hata top 20 Tanzania haimo.
Kama na Congo imeponea chupuchupu kuwepo kwenye list halafu bado uniambie niiamini hiyo dataKama na Congo imeponea chupuchupu kuwepo kwenye list halafu bado uniambie niiamini hiyo data
Nadhani hapa tunazidiwa na wingi wa deposits, lakini kwa varieties za madini sisi tunazo nyingi, na pia huenda madini yetu yametawanyika sana kama ni dhahabu haipatikani kwa wingi kwenye eneo moja, na hiyo kwa gharama za uchimbaji haileti tija sanaWatanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?
Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo
1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.
Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.
Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?
Nakwambia hivi hata zikifika 20 ,Tanzania hipo ndio maana huwezi kuthibitishaUnang'ang'aniza namba ziishie kumi tu?Fungua akili utoke kwenye mtungi huo wenye mijusi-kafir!Usiwe unaangalia pua yako ilipoishia.
Sasa deposits ndio kitu Cha maana,Sasa hata Ukiwa na varieties ambazo sio commercial inakusaidia nini?Nadhani hapa tunazidiwa na wingi wa deposits, lakini kwa varieties za madini sisi tunazo nyingi, na pia huenda madini yetu yametawanyika sana kama ni dhahabu haipatikani kwa wingi kwenye eneo moja, na hiyo kwa gharama za uchimbaji haileti tija sana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
kajiongeze bwanamdogo, kwa upumbavu wako huo utadanganywa na kila mtu.Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?
Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo
1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.
Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.
Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?
Mpumbavu ni wewe ambae imekuwa unadangnywa daily.kajiongeze bwanamdogo, kwa upumbavu wako huo utadanganywa na kila mtu.
Congo hujaiona kwenye top 10?Mleta mada unatetea kitu usicho kijua wao wanasema top 10 ya nchi zinazo zalisha madini
kuna tofauti kati ya kuwanacho na kuzalisha Congo inamadini mengi ila uzalishaji ndio hafifu na unajua kabisa tatizo ni ukanda wenye madini ndio unamigogoro yakimapigano
Hiyo naomba uichukulie kama Mfano na kwanchi nyingine
Kwa hiyo ndiyo unataka hadi upigane kwa nchi hizo kuwepo kwenye top ten yako fake?Mpumbavu ni wewe ambae imekuwa unadangnywa daily.
Tanzania sio Nchi tajiri ni ya wababgaizaji tuu.
Muache kudanganya watu.Kwa hiyo unataka hadi upigane?
Nani na nani walikudanganya?Wataje.Halafu mtu mzima unadanganywaje?Utakuwa zuzu!Muache kudanganya watu.