Kwani mtoa mada kasemaje? Yeye kazungumzia top 10 hajasema hizo ndo nchi pekee zenye madiniUnang'ang'aniza namba ziishie kumi tu?Fungua akili utoke kwenye mtungi huo wenye mijusi-kafir!Usiwe unaangalia pua yako ilipoishia.
Hajasema.Kaandika.Kwani mwingine akiandika ni mbili tu,utamkatalia kwa uzuzu huo?Kwani mtoa mada kasemaje? Yeye kazungumzia top 10 hajasema hizo ndo nchi pekee zenye madini
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hujui ila unajikuta unajua, uliza tulopitia kazi ya madini!! Nyie ndiyo mnaifelisha nchi kwa ujuaji wakijinga sasa kaa na ujinga wakoAcha hadithi wewe,Madini ya kubangaiza na wachimba sululu wakitorosha ni sawa..
Tanzania ina Madini ya kubangaiza bangaoza ndio maana inabembeleza investors ila tungekuwa nayo wangejileta wenyewe kama hizo Nchi zingine.
Wewe ndio zuzu usiyeelewaHajasema.Kaandika.Kwani mwingine akiandika ni mbili tu,utamkatalia kwa uzuzu huo?
Hujui ila unajikuta unajua, uliza tulopitia kazi ya madini!! Nyie ndiyo mnaifelisha nchi kwa ujuaji wakijinga sasa kaa na ujinga wako
Wewe zuzu unachojua ni kipi hasa?Hujui ila unajikuta unajua, uliza tulopitia kazi ya madini!! Nyie ndiyo mnaifelisha nchi kwa ujuaji wakijinga sasa kaa na ujinga wako
Zuzu 😁😁Lazima weye ni dereva bodaboda haujalipwa nauli na mteja.
We nipanya mdogo huna chakubishana namimi hujielewi eleza migodi ulowahi kuingia ukapiga kaziWewe zuzu unachojua ni kipi hasa?
Hivi ukiulizwa kwa nini umekaza hivyo misuli ya "kiuno" kubishia upambaff unaweza kutoa majibu sahihi?Zuzu 😁😁
Tafuta mazuri wenzio ndio mbishane,Mimi nakupa facts Huwa sibishaniWe nipanya mdogo huna chakubishana namimi hujielewi
Majibu yangu ni kwamba nawafungua akili nyie mazuzuHivi ukiulizwa kwa nini umekaza hivyo misuli ya "kiuno" kubishia upambaff unaweza kutoa majibu sahihi?
Kuna Utofauti baina ya "Mineral producing" na "Mineral reserve"Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?
Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo
1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.
Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.
Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?
Kumbe mambo ya kusemekana. Tanzania ina madini ya kawaida sana, hata haina mafuta ya kutisha na kwenye gesi vilevile haipo top 5 ya nchi zenye reserve kubwa ya gesi.Wataalamu wanasema mpaka muda huu Tanzania imeshachima asilima 10% tu ya madini yote, na karibia nchi nzima ina mali kiasi kwamba ukitaka uchimbe kila kitu itabidi uwahamishe watu baadhi ya maeneo. Pale Mwadui zilipo nyumba za mgodi, inasemekena pale kuna mali imetulia
Nadhani umeshindwa kujua hiyo orodha ya nchi inahusu nini hasa!Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?
Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo
1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.
Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.
Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?
Unasema kweli hayo ya Zimbabwe na hiyo Tr4?Ndio Zenye Madini hizo nyie wengine ni wababgaizaji..
Pale Zimbabwe Mchina Katia Mgodi wa Til.4 wa Lithium,Tanzania una Mgodi upi wa thamani hiyo Kwa mfano?
Kwani hiyo orodha unajua nani katengeneza? Unajua tofauti ya kutoa/kuzalisha madini kwa wingi na kua na madini kwa wingi?Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?
Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo
1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.
Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.
Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?
Kwani hujaona source ya aliyetengeneza?Kwani hiyo orodha unajua nani katengeneza? Unajua tofauti ya kutoa/kuzalisha madini na kua na madini?
Jamaa ana dharau sana😅😅Umefikia hatua ya kuwaweka CHADEMA na mwendazake katika kapu moja?!
Wataalam wanaokuzidi wewe utaalamu ndiyo walwahi KUNIAMBIA hivyo, NDIYO MAANA nikatumia NENO inasemekana kwa sababu mwenye proof siyo mimiKumbe mambo ya kusemekana. Tanzania ina madini ya kawaida sana, hata haina mafuta ya kutisha na kwenye gesi vilevile haipo top 5 ya nchi zenye reserve kubwa ya gesi.
Mambo ya unaambiwa, inasemekana hayajawahi kuwa facts