Top 10 ya nchi zenye utajiri wa madini Afrika, Tanzania haipo

Top 10 ya nchi zenye utajiri wa madini Afrika, Tanzania haipo

Tanzanite ni vanadiferous sapphire. Sapphire zisizo na vanadium zipo kwenye mataifa mengi. Hii yenye vanadium ipo Tanzania tu, lakini ni kiasi kidogo sana katika thamani. Na ufahamu kuwa tanzanite ni jiwe la mapambo, ndiyo maana huwezi kusikia kampuni kubwa zinaenda kuchimba tanzanite, ruby, sapphire, tourmaline au amethyst. Hiyo tanzanite huwezi kulinganisha na madini kama cobalt katika thamani, yanayochimbwa DRC. Gemstone inayochimbwa na makampuni makubwa ni diamond tu, hasa kwa sababu hata ile isiyo gem quality bado inatumika, tofauti na gemstones nyingine.
Hao mbumbumbu hawaelewi kitu..

Waambie wakupe kampuni iliyowekeza Til.10 kama hii hapa ya Zimbabwe kwenye platinum
Screenshot_20230307-202711.jpg
 
Hapo ametaja Madini yani Dhahabu tu,ukiunganisha rasilimali zote Congo ndie namba 1 ila kwa dhabau kuna Nchi nyingi tu zinampita.
Rasilimali zote labda apart from Madini ila kama ni Madini inapitwa na Nchi nyingi sana..

Angola na Zimbabwe Zina Madini mengi na yenye reserves za kutosha kuliko hao DR Congo.
Diamond hii hapa 👇
Screenshot_20230307-203057.jpg
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?

Bora hata tusiwepo itakuwa nafuu kwetu
 
Nyie hombolo si mnawa Australia na wachina janjajanja kwenye lithium

Ova
Ni wale wababaishaji hamna kitu hapo.

Hata graphite Iko Ngara na Lindi lakini uwekezaji wake Kwa pamoja ni chini ya bil.500 Kwa sababu mali ni kiduchu.

Imagine Madini yoote Kwa pamoja yanaingiza bil.700 tuu serikali,Sasa utajiita mining economy?

Tanzania tuna viongozi wajinga ila wangekuwa qanajitambua tungekomaa na livestock,Utalii, transport logistics,Kilimo,fishing na bidhaa za misitu kama Nyuki sio kuhangaika na ndoto ambazo hazipo.
 
Jamani mtoa mada kashindwa kuelezea vizuri but alicho kuwa ana manisha ni deposit ya dhahabu( madini) Nchi iliyo nayo na sio resources zote kwa ujumla.

Na ni kweli katika Nchi za Africa zenye deposit kubwa ya dhahabu Tanzania hatupo top 10 kama wanavyoaminishwa Wananchi.
Wewe ndio hujaelewa kwani attachment haijielezi?
 
No. Tupo top 20
Burundi hapo Wana aina Fulani ya Madini ya rare metals inaweza kuwepo top 10 ya Dunia Kwa reserves Yao sema political instability imesababisha wasipate investors wakubwa.
 
Na sio kwenye dhahabu,hata ukijumuisha deposts ya resources zote bado hatupo top 10.
Walau Madini yenye tunayo kidogo yanaweza chukua miaka hata 100 ni makaa ya mawe,chuma na gas ila gas hapana maana wanasema gas yetu inaweza kufikisha Germany Kwa miaka 40 tuu so mpaka hapo hamna kitu.
 
Back
Top Bottom