Usitake tuanze mjadala mwingine juu ya hili, huku ukijua pamoja na kwamba hatuna mtaji lakini bado tunayo sauti kama nchi.Anaemua Cha kufanya ni mwekezaji wewe uamue una mtaji? Una Teknolojia? Una soko? Subiria Cha kupewa.
Mwalimu Nyerere aliamua kuyaacha madini haya ardhini, akiwa na matumaini ya kwamba hawa watu waliopo sasa wangekuwa na akili za kutosha kuyafanya madini haya yawe yenye faida kwenye taifa.
Kwa bahati mbaya sana, matokeo yake ndiyo haya tunayoyaona sasa.
Lakini hebu sasa nikuulize, maanake naona unajifanya kusahau: Hivi kwa hiyo hata hizo nchi nyingine zilizo orodheshwa hapo, kumbe hawafaidiki na hayo madini yao?