Top 10 ya nchi zenye utajiri wa madini Afrika, Tanzania haipo

Top 10 ya nchi zenye utajiri wa madini Afrika, Tanzania haipo

Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?


"Mineral producing" (nchi zinazachimba madini mengi) na "mineral deposits" (nchi zenye utajiri mwingi wa madini) ni vitu viwili tofauti kabisa. Shule husidia sana mtu kuelewa maana ya yanayosomwa. Ungeleta hapa data za nchi zenye mineral deposists nyingi, siyo zinazochima. Nchi zenye kuchima mafuta wao huchimba kila siku kwa hiyo watakuwa wanachima mengin sana kwa mwaka. Elewa kuwa hata mafuta ni sehemu ya minerals.
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?


Utajiri wa Afrika una utata. Hutegemea chanzo cha data. Mfano, angalia hii
10 Most Mineral-Rich Countries In Africa - African Leadership Magazine
Top 10 Richest Countries In Minerals In Africa (2023) » PeakNG
Richest African countries in terms of natural resources
 
Wataalamu wanasema mpaka muda huu Tanzania imeshachima asilima 10% tu ya madini yote, na karibia nchi nzima ina mali kiasi kwamba ukitaka uchimbe kila kitu itabidi uwahamishe watu baadhi ya maeneo. Pale Mwadui zilipo nyumba za mgodi, inasemekena pale kuna mali imetulia
Hizonni fix za ccm
 
Ni wale wababaishaji hamna kitu hapo.

Hata graphite Iko Ngara na Lindi lakini uwekezaji wake Kwa pamoja ni chini ya bil.500 Kwa sababu mali ni kiduchu.

Imagine Madini yoote Kwa pamoja yanaingiza bil.700 tuu serikali,Sasa utajiita mining economy?

Tanzania tuna viongozi wajinga ila wangekuwa qanajitambua tungekomaa na livestock,Utalii, transport logistics,Kilimo,fishing na bidhaa za misitu kama Nyuki sio kuhangaika na ndoto ambazo hazipo.

Uganda tu akianza uchimbaji wa mafuta hatutompata kamwe na tutamtafuta kwa tochi
 
Kuliko kutokujizatiti kwenye uzalishaji janja janja, ni muda sasa tuwekeze sehemu nyingine ukitaka kufahamu hatuna potential ya madini wawekezaji na mitaji mikubwa kuenda kuweka pesa Congo na kuacha sehemu ambayo tunasema kuna amani, hapo ndio utajua kumbe congo ni matajiri kuliko kisiwa cha amani
 
Uelekeo wa uzalishaji mali vichwani mwa viongozi nao wakibadilika basi tutapiga hatua kwenda mbele, tukubaliane sasa kilimo hasa organic kitiliwe mkazo ili tuuze vyakula vyetu masoko ya ulaya kwa thamani kubwa maana hizo mbolea wenye pesa hawali vyakula vya mbolea hovyo
 
Tuimarishe project za ngano, manyara na njombe ili tukimbizane na ethiopia kwa sasa wanazalisha ngano nyingi, fukwe zetu za maziwa na bahari ziboreshwe kisasa na usafi na kuvutia utalii wa fukwe,
 
Aibu kubwa bilioni 700 mapato ya mwaka yatokanayo na madini kiukweli hatutofika popote
 
Mtoa mada, unazungumzia nchi zinazozalisha madini kwa wingi sasa hivi, au nchi zenye natural resources nyingi, madini yakiwemo? Ebu tuanzie hapo kwanza.
 
Mtoa mada, unazungumzia nchi zinazozalisha madini kwa wingi sasa hivi, au nchi zenye natural resources nyingi, madini yakiwemo? Ebu tuanzie hapo kwanza.

Hapo ni nchi zenye deposit kubwa ya madini mbalimbali
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?


Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?



Hizo ni Top 10 mineral producing countries in Africa tanzania ina madini mengi sana, ila tanzania production yake nikubwa kuliko hao ila kwajili ya janjajanja mingi hakuna record inayo wekwa wazi waweke watakula nini, wasimamizi wangekuwa wana fanya kazi yao vizuri ingekuwepo no 1,​

Ukiangalia hizo nchi zina aina moja au mbili ila tanzania ina madini yote ila ni kutosimamia vizuri
 
Wataalamu wanasema mpaka muda huu Tanzania imeshachima asilima 10% tu ya madini yote, na karibia nchi nzima ina mali kiasi kwamba ukitaka uchimbe kila kitu itabidi uwahamishe watu baadhi ya maeneo. Pale Mwadui zilipo nyumba za mgodi, inasemekena pale kuna mali imetulia
Inasemekana?????
 
List kanjanja hii haina Botswana wala Tanzania, lakini tatizo letu yanachimbwa ila yanapelekwa ZA ambapo ndio kuna HQ za wachimbaji wetu humu.
 
Tanzania haipo kwenye list, hakuna Madini ya maana hapa Tzn..

Ni sawa na tumafuta twa Uganda ambato Tunaenda kuisha baada ya miaka 20.
Mkuu mbona kama unaongozwa na chuki katika kuliongelea hili swala, kwani ni ugomvi? Nadhani survey ya kutosha na extensive exploration ndo ina determine uwingi au uchache wa kilichomo ndani ya ardhi yetu.

Huenda Tz hatumo kwenye hiyo list kwa kuwa hivyo vitu hapo juu havijafanyika kwa ukubwa sana. Baada ya kampuni nyingi za drilling and exploration za miaka ya 80 hadi 2000 kwa kanda ya ziwa kama Stanley, Major Drilling, Drillcorp nk kufanya utafiti wa kutosha ukafanya kuanzishwa migodi kama ya Buly, Geita, Buzwagi, Resolute, Shanta nk kulitokea ombwe la utafiti hapa kati nadhani ni sera za serikali zilizofuatia baada ya hapo mwisho wa siku tukabaki na kampuni za utafiti kama Wellforce International chini ya kampuni ya Capital Drilling na Boart Longyear tu.

Sasa kwa mwendo huu wa kanda ya ziwa kuwa na kampuni 2 tu za utafiti unategemea tutakuwa kwenye hiyo list? Serikali iboreshe sera zake na sheria makampuni ya utafiti yarudi yafanye kazi na hii itapelekea makampuni ya migodi kuongezeka na yaliyopo kuongeza migodi kwa sababu mgodi unaanzishwa baada ya tafiti kubwa za hela nyingi na za muda mrefu sio tafiti za wachimbaji wadogo kwenye PMLs wanao ongozwa na ushirikina na stori za kuliwazana.
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?


Mh hebu weka source ya taarifa yako, haiwezekan tuliambiwa hii nchi ni matajir mnoo!! Weka chanzo cha taarifa plz
 
Watanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?

Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo

1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.

Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.

Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?


Bahari na Maziwa pamoja na mlima Kilimanjaro.
 
Mkuu mbona kama unaongozwa na chuki katika kuliongelea hili swala, kwani ni ugomvi? Nadhani survey ya kutosha na extensive exploration ndo ina determine uwingi au uchache wa kilichomo ndani ya ardhi yetu.

Huenda Tz hatumo kwenye hiyo list kwa kuwa hivyo vitu hapo juu havijafanyika kwa ukubwa sana. Baada ya kampuni nyingi za drilling and exploration za miaka ya 80 hadi 2000 kwa kanda ya ziwa kama Stanley, Major Drilling, Drillcorp nk kufanya utafiti wa kutosha ukafanya kuanzishwa migodi kama ya Buly, Geita, Buzwagi, Resolute, Shanta nk kulitokea ombwe la utafiti hapa kati nadhani ni sera za serikali zilizofuatia baada ya hapo mwisho wa siku tukabaki na kampuni za utafiti kama Wellforce International chini ya kampuni ya Capital Drilling na Boart Longyear tu.

Sasa kwa mwendo huu wa kanda ya ziwa kuwa na kampuni 2 tu za utafiti unategemea tutakuwa kwenye hiyo list? Serikali iboreshe sera zake na sheria makampuni ya utafiti yarudi yafanye kazi na hii itapelekea makampuni ya migodi kuongezeka na yaliyopo kuongeza migodi kwa sababu mgodi unaanzishwa baada ya tafiti kubwa za hela nyingi na za muda mrefu sio tafiti za wachimbaji wadogo kwenye PMLs wanao ongozwa na ushirikina na stori za kuliwazana.
Unaanzisha migodi kwa ajili ya kulipa kodi serikalini na si kunufaisha jamii inayozunguka hiyo migodi pamoja Wananchi kwa ujumla,je hiyo migodi itakuwa na tija?Nikupe mfano mmoja tu Zambia wanazalisha shaba,ukienda ukanda wa Copper Belt mazingira yake yanakuonyesha kuwa wananchi wa sehemu hiyo wananufaika na hiyo rasilimali inayopatikana huko.Sisi dhahabu inapatikana Nyamongo kwa mfano lakini kama ni mgeni ukisema Tarime kuna dhahabu utakataa maana mazingira yake na hicho kinachosemwa kipo ni tofauti kabisa.
 
Back
Top Bottom