ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #101
Hao mbumbumbu hawaelewi kitu..Tanzanite ni vanadiferous sapphire. Sapphire zisizo na vanadium zipo kwenye mataifa mengi. Hii yenye vanadium ipo Tanzania tu, lakini ni kiasi kidogo sana katika thamani. Na ufahamu kuwa tanzanite ni jiwe la mapambo, ndiyo maana huwezi kusikia kampuni kubwa zinaenda kuchimba tanzanite, ruby, sapphire, tourmaline au amethyst. Hiyo tanzanite huwezi kulinganisha na madini kama cobalt katika thamani, yanayochimbwa DRC. Gemstone inayochimbwa na makampuni makubwa ni diamond tu, hasa kwa sababu hata ile isiyo gem quality bado inatumika, tofauti na gemstones nyingine.
Rasilimali zote labda apart from Madini ila kama ni Madini inapitwa na Nchi nyingi sana..Hapo ametaja Madini yani Dhahabu tu,ukiunganisha rasilimali zote Congo ndie namba 1 ila kwa dhabau kuna Nchi nyingi tu zinampita.
Nyie hombolo si mnawa Australia na wachina janjajanja kwenye lithiumUwe unaelewa ,ipo ila Kwa kiwango gani? Ndio point ya msingi.
Kama mnayo leta investor wa Til.4 kama Zimbabwe hapa [emoji116]View attachment 2540964
Bora hata tusiwepo itakuwa nafuu kwetuWatanzania wamekuwa wakidanganywa sana na Wanasiasa wakiwemo Chadema, Mwendazake nk kwamba Nchi yetu ni tajiri sana hapa Afrika ingawa kiuhalisia sio Kweli.. Mbona kweli list hapa ya utajiri haipo?
Kwa mujibu wa jarida la economist intelligence Nchi 10 Zenye Utajiri wa Madini hapa Afrika ni zifuatazo
1.South Africa
2.Nigeria,
3.Algeria,
4.Angola,
5.Libya,
6.Egypt,
7.Ghana,
8.DR Congo,
9.Gabon,
10.Zimbabwe.
Sasa kama Tanzania hatumo kwenye hiyo list utajiri ambao huimbwa na Wanasiasa ni upi?
Maana hata kama ni Ardhi nzuri ya Kilimo hatuwezi ifikia South Sudan, Angola, Zambia, DR Congo nk.
Hivi utajiri wa Tanzania hasa ni upi? Au tafsiri ya Utajiri inayosungumzwa ni ipi hasa?
Yaani hatupo hata namba 15Hatufaidiki na rasimali zetu. Tungekuwa makini,tungeongoza hapo
Ni wale wababaishaji hamna kitu hapo.Nyie hombolo si mnawa Australia na wachina janjajanja kwenye lithium
Ova
Na uhakika hata namba 20 hatupo,ila kwenye gold tupo kwenye production ila sio reserves.Yaani hatupo hatq namba 15
Wewe ndio hujaelewa kwani attachment haijielezi?Jamani mtoa mada kashindwa kuelezea vizuri but alicho kuwa ana manisha ni deposit ya dhahabu( madini) Nchi iliyo nayo na sio resources zote kwa ujumla.
Na ni kweli katika Nchi za Africa zenye deposit kubwa ya dhahabu Tanzania hatupo top 10 kama wanavyoaminishwa Wananchi.
No. Tupo top 20Na uhakika hata namba 20 hatupo,ila kwenye gold tupo kwenye production ila sio reserves.
Burundi hapo Wana aina Fulani ya Madini ya rare metals inaweza kuwepo top 10 ya Dunia Kwa reserves Yao sema political instability imesababisha wasipate investors wakubwa.No. Tupo top 20
Walau Madini yenye tunayo kidogo yanaweza chukua miaka hata 100 ni makaa ya mawe,chuma na gas ila gas hapana maana wanasema gas yetu inaweza kufikisha Germany Kwa miaka 40 tuu so mpaka hapo hamna kitu.Na sio kwenye dhahabu,hata ukijumuisha deposts ya resources zote bado hatupo top 10.
Acheni kulishana matangopori.Kwani kwenye mtihani ukishika nafasi ya 10 ukiwa umescore maksi 91% ni matokeo mabaya?
Tango pori ndiyo nini?Acheni kulishana matangopori.
Uongo wa kupikwa.usio na ushahidi unamezeshwa tuu.Tango pori ndiyo nini?
Kumezeshwa toka wapi?Uongo wa kupikwa.usio na ushahidi unamezeshwa tuu.
Kwa Wanasiasa uchwara wanaotaka kukufanya mabega kama vile Chadema wanavyowaambiaga.Kumezeshwa toka wapi?