Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

hivi wale wavunja matofali nao mbona hawapo kwe orodha
 
Watu wengine bana!eti Tanzania tunaficha habari za jeshi letu....hivi hata hizo meli za kivita nazo ni siri?si zinaonekana tu?je tunazo ngapi?na bajeti ya jeshi nayo ni siri?si wizara ya ulinzi huwa inawasilishaga bajeti ya ulinzi?je ni kubwa kiasi gani?
 
Wala huja scroll haraka ni kweli JWTZ hawamo katika 15 bora na ndiyo mshangao wetu baadhi ya wanajamvi tunaochangia uzi huu.

Nimeangalia kwenye website Global Fire Power tupo nafasi ya 24!!!!
 
unajua report nyingine unazisoma na kuzipuuza tu,mana kuna nchi zimo kwenye hiyo list ila zinasaidiwa na nchi ambayo haimo kwenye list ndo nashangaa
 
Wala huja scroll haraka ni kweli JWTZ hawamo katika 15 bora na ndiyo mshangao wetu baadhi ya wanajamvi tunaochangia uzi huu.

Nimeangalia kwenye website Global Fire Power tupo nafasi ya 24!!!!

Jeshi letu lilikuwa enzi za mwalimu sasa hivi limeingiliwa na siasa
 
unajua report nyingine unazisoma na kuzipuuza tu,mana kuna nchi zimo kwenye hiyo list ila zinasaidiwa na nchi ambayo haimo kwenye list ndo nashangaa

Mkuu hata darasani unaweza ukashika namba moja katika somo lakini baadhi ya maswali kumbe ulisaidiwa
 
Mkuu hata darasani unaweza ukashika namba moja katika somo lakini baadhi ya maswali kumbe ulisaidiwa

nikweli kabisa ndo mana nasema report kama hizo nikuzipuuza tu coz hakuna uhusiano wa nambwa natjwa na uhalisia wake
 
Nikiandika yng pia mtakubali. Vita ni uwanjani sio mtandaoni
 
Hahaaaa! Vjn wa lowasa wana mental retardation kama kikongwe yao,unatgemea tz ianike taarifa zake za kjeshi hadharani,jaribuni kuwa mnatumia vyema bongo zenu ili majbu mengne mjipatie wnyw,musiwe na fikra fupifupi kama wapga debe wa kikongwe wenu,muendako mtawakana hata wazazi wenu sbb yakutoshugulsha bongo zenu vjn wa tz.
 
Mbona kama changa la macho hilo,Nigeria wana janga la boko haramu na wamelishindwa nguvu yao ipi ?
Misri maandamano tu yanatosha kuwakimbiza masoldier,nguvu yao ipi ?
Kenya hata kulinda mipaka ya nchi shida,hadi leo wanahangaika kuwafurumua al shabab,nguvu yao ipi ?
JWTZ fanyeni kazi,tunawapenda sana na nyie ndio jeshi letu la ukweli,tunawaamini.

vigezo vya jeshi ni pamoja na nguvu ya uchumi na vifaa kwaiyo msiwe washabiki maandazi-ukiona tunafanya vizuri kwenye peace keeping jua ni kile kipande tunachokua tumepewa lakini kuna jumuiya inayolipia gharama za vita .ogopa Egypt si saizi yako ile ndio maana wanawatuliza raia na hutasikia waasi wala hutosikia jeshi kugawanyika ,sasa hapa umeme tabu mafuta tabu maana vita ni uwezo wa kugharamia mafuta hatuweki kahawa kwenye injini za vifaru .ona egypt ina ndege 1000na zaidi za kisasa wee unabeza wakati huna hata shirika la ndege ,viwanja havifiki nane TZ ni malofa tujikubali hatuwezi kupigana miezi kumi bila kulegea kwa umasikini wetu
 
Wala huja scroll haraka ni kweli JWTZ hawamo katika 15 bora na ndiyo mshangao wetu baadhi ya wanajamvi tunaochangia uzi huu.

Nimeangalia kwenye website Global Fire Power tupo nafasi ya 24!!!!

wanaangalia idadi ya watu na ukubwa wa nchi kisha wanaangalia raia wanaoweza kupigana,yaani wanaoweza kufunzwa haraka na kuingia vitani pale inapobidi,kisha unaangalia wanajeshi halisi yaani walioajiriwa kwa kazi hiyo na uwezo wa kuzalisha mafuta ukilinganisha na mahitaji ya mafuta -kumbuka vita hutumia mafuta kuliko magari a starehe ata malori ya kawaida-ukisikia nguvu za kijeshi si JWTZ ni mjumuisho wa mambo mengi
 
Wanaitaja South Africa kuwa ina watu 48 mil ambapo ni uongo kabisa....
Wanaitaja Kenya kuwa ina watu 45 mil ambapo ni uongo kabisa..
Usiamini hizo data...
 
Hihiji hakuna utafiti hapo ukanjanja tu mwanzo mwisho DRC KWA KIPI SASA WAKATI WANYAMURENGE WANASUMBUA MPAKA LEO LUDI TENA
 
hivi kuna jeshi linaanika information zake hadharani???? basi jua kuna analysis wamefanya ni kweli nchi za kaskazini zipo vizuri kijeshi coz wanamafuta
 
Back
Top Bottom