Uchumi wa Tanzania ni mkubwa mno hapa JF lakini kwa vipimo halali vya dunia wanacheza ligi ya kina Burundi, Central African Republic (CAR), DRC, Burkina Faso, Mali, Niger na usisahau hizo Nchi hazijui AMANI zipo kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe tangu kupata Uhuru. What is wrong with our Southern Neighbor hata wakashindwa na landlocked Zambia inayowategemea bandarini?
I think Tz needs to be re-invaded and recolonized again for them to catch up with the rest of the world, bado wako in the dark ages.