Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 858
- 2,497
Inawezekana mkuu sema pelle na maradona sikuwaona zaidi ya clips tu , Dr lima siwezi kumtoa asee!!!! ni striker aliyekamilika kwa kila kitu amewatesa sana mabeki na makipa . Gaucho japo hajakaa sana kwenye game lakini alifanya soka liwe tamu kwangu kuwatoa ni ngumu sana😁😁😁😁Namba 2 na 4 hawapaswi kuwepo hata 10 bora...unamwachaje Maradona na Pele then unawaweka de lima na gaucho! 😀 Aise unawavunjia heshima hao wazee...lakini kwakuwa ni maoni yako sina budi kukupangia mkuu.
Inawezekana mkuu sema pelle na maradona sikuwaona zaidi ya clips tu , Dr lima siwezi kumtoa asee!!!! ni striker aliyekamilika kwa kila kitu amewatesa sana mabeki na makipa . Gaucho japo hajakaa sana kwenye game lakini alifanya soka liwe tamu kwangu kuwatoa ni ngumu sana😁😁😁😁
Mafanikio gani?Mpira sio chenga peke yake kijana, angalis na mafanikio pia...muwe mnafuatilia basi sio ushabiki tu..It means hao ma-pundits hawajui mpira sio!
umezaliwa mwaka gani mkuu?
hao pundits ni wanadamu kama wewe, sio malaika. Pamoja na hayo, bado na wao list zao zimetofautiana. Sasa sielewi kwanini unataka mtizamo wangu ufanane na wa kwako. Kwani ulileta mada ili kila mtu aunge mkono mawazo yako?
Pele🇧🇷
Cr7🇵🇹
Kiroboto🇦🇷
Maradona🇦🇷
Johan cryiff🇳🇱
Hiyo a.k.a ndo tunavyomwita huku mtaani kwetu buza yani hapo ndo tumemsifia kama tunavyowasifia akina jonas mkude(nungunungu) kassim mlipili ( jitu la mtumba) mimi mwenyewe jina langu la passport pembe kuzagila a.k.a bwege nazi kwa hiyo mkuu isikupe tabu hiyo.Utamuitaje binadam mwenzio kiroboto? Muogope Mungu
Kweli wewe bwegePele[emoji1054]
Cr7[emoji1201]
Kiroboto[emoji1033]
Maradona[emoji1033]
Johan cryiff[emoji1179]
Yani kwa kuwa tu tumepisha mawazo kwenye huu uzi si ndio?
Hapana mkuu ila ni kwakuwa wewe ni bwegeYani kwa kuwa tu tumepisha mawazo kwenye huu uzi si ndio?
Sawa Nashukuru