Top 5 mikoa ya amani na Top 5 mikoa yenye fujo hapa Tanzania kwetu

Top 5 mikoa ya amani na Top 5 mikoa yenye fujo hapa Tanzania kwetu

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
A.Mikoa yenye amani
1.Lindi.
2.Iringa
3.pwani
4.Dodoma
5.singida
Vigezo
1.matukio ya mauaji machache na ukatili wa kijinsia
2.matumizi machache ya madawa ya kulevya
3.stress kidogo


B.mikoa yenye fujo
1.dar
2.arusha
3.tabora
4.mtwara
5.mara

Vigezo
1.matukio mabaya na utapeli umetamalaki
2.wingi wa visasi
3.drugs
 
A.Mikoa yenye amani
1.Lindi.
2.Iringa
3.pwani
4.Dodoma
5.singida
Vigezo
1.matukio ya mauaji machache na ukatili wa kijinsia
2.matumizi machache ya madawa ya kulevya
3.stress kidogo


B.mikoa yenye fujo
1.dar
2.arusha
3.tabora
4.mtwara
5.mara

Vigezo
1.matukio mabaya na utapeli umetamalaki
2.wingi wa visasi
3.drugs
Ni mimi tu nimewaza hiyo mikoa yenye amani ndio mikoa yenye hali duni ya maisha au tupo wengi?
 
Afu hiyo yenye fujo ndo watu wake wanajitambua sana.hiyo isiyo na fujo ndo imejaa mataahira na yale majitu ya kujipendekeza kwa watawala.
 
A.Mikoa yenye amani
1.Lindi.
2.Iringa
3.pwani
4.Dodoma
5.singida
Vigezo
1.matukio ya mauaji machache na ukatili wa kijinsia
2.matumizi machache ya madawa ya kulevya
3.stress kidogo


B.mikoa yenye fujo
1.dar
2.arusha
3.tabora
4.mtwara
5.mara

Vigezo
1.matukio mabaya na utapeli umetamalaki
2.wingi wa visasi
3.drug
Mikoa yenye fujo ndio Engine. Bila hiyo mikoa mgepelekeshwa kama mijibwa
 
A.Mikoa yenye amani
1.Lindi.
2.Iringa
3.pwani
4.Dodoma
5.singida
Vigezo
1.matukio ya mauaji machache na ukatili wa kijinsia
2.matumizi machache ya madawa ya kulevya
3.stress kidogo


B.mikoa yenye fujo
1.dar
2.arusha
3.tabora
4.mtwara
5.mara

Vigezo
1.matukio mabaya na utapeli umetamalaki
2.wingi wa visasi
3.drugs
Apo Masasi issue vipi
 
A.Mikoa yenye amani
1.Lindi.
2.Iringa
3.pwani
4.Dodoma
5.singida
Vigezo
1.matukio ya mauaji machache na ukatili wa kijinsia
2.matumizi machache ya madawa ya kulevya
3.stress kidogo


B.mikoa yenye fujo
1.dar
2.arusha
3.tabora
4.mtwara
5.mara

Vigezo
1.matukio mabaya na utapeli umetamalaki
2.wingi wa visasi
3.drugs
Haya ni maoni yako binafsi au kuna utafiti umefanyika?
 
Sisi watu wa Njombe & Geita vp,au tuna mbingu yetu wenyewe?
 
Back
Top Bottom