ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ni mimi tu nimewaza hiyo mikoa yenye amani ndio mikoa yenye hali duni ya maisha au tupo wengi?A.Mikoa yenye amani
1.Lindi.
2.Iringa
3.pwani
4.Dodoma
5.singida
Vigezo
1.matukio ya mauaji machache na ukatili wa kijinsia
2.matumizi machache ya madawa ya kulevya
3.stress kidogo
B.mikoa yenye fujo
1.dar
2.arusha
3.tabora
4.mtwara
5.mara
Vigezo
1.matukio mabaya na utapeli umetamalaki
2.wingi wa visasi
3.drugs
Hahah, ndio home auu?Ifike hatua muwe wazi tu mseme mtwara waliwakosea nini,. Maana hawajai sifiwa kwa chochote kizuri
Hapana nimesema tu, sijawai ona watu wanasifia mtwaraπ₯Hahah, ndio home auu?
Mikoa yenye fujo ndio Engine. Bila hiyo mikoa mgepelekeshwa kama mijibwaA.Mikoa yenye amani
1.Lindi.
2.Iringa
3.pwani
4.Dodoma
5.singida
Vigezo
1.matukio ya mauaji machache na ukatili wa kijinsia
2.matumizi machache ya madawa ya kulevya
3.stress kidogo
B.mikoa yenye fujo
1.dar
2.arusha
3.tabora
4.mtwara
5.mara
Vigezo
1.matukio mabaya na utapeli umetamalaki
2.wingi wa visasi
3.drug
wanawake wa mtwara ni ππΎπIfike hatua muwe wazi tu mseme mtwara waliwakosea nini,. Maana hawajai sifiwa kwa chochote kizuri
YESU alizaliwa Mbeya.Mikoa yenye sherehe na alipozaliwa YESU
1. Kilimanjaro
Ndio hicho tu wanakuwaga namba moja, ila kwenye masuala ya msingi yote hamjawahi kuwapa marks za kuelewekawanawake wa mtwara ni ππΎπ
Apo Masasi issue vipiA.Mikoa yenye amani
1.Lindi.
2.Iringa
3.pwani
4.Dodoma
5.singida
Vigezo
1.matukio ya mauaji machache na ukatili wa kijinsia
2.matumizi machache ya madawa ya kulevya
3.stress kidogo
B.mikoa yenye fujo
1.dar
2.arusha
3.tabora
4.mtwara
5.mara
Vigezo
1.matukio mabaya na utapeli umetamalaki
2.wingi wa visasi
3.drugs
Haya ni maoni yako binafsi au kuna utafiti umefanyika?A.Mikoa yenye amani
1.Lindi.
2.Iringa
3.pwani
4.Dodoma
5.singida
Vigezo
1.matukio ya mauaji machache na ukatili wa kijinsia
2.matumizi machache ya madawa ya kulevya
3.stress kidogo
B.mikoa yenye fujo
1.dar
2.arusha
3.tabora
4.mtwara
5.mara
Vigezo
1.matukio mabaya na utapeli umetamalaki
2.wingi wa visasi
3.drugs
Uduni wa maisha upo kila mkoa. Waulize wakazi wa Dar.Ni mimi tu nimewaza hiyo mikoa yenye amani ndio mikoa yenye hali duni ya maisha au tupo wengi?