mwanga mweusi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 276
- 452
Umechanganya mavi,mkojo, na pizza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
23 September 2024Kwangu mimi hii ndio orodha ya viongozi bora Afrika kwa sasa.
1. Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania)
2. Dkt. Tulia Ackson (Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa IPU)
3. Rais Hakainde Hichilema (Zambia)
4. Rais Nana Akufo-Addo (Ghana)
5. Rais Cyril Ramaphosa (Afrika Kusini)
Kwa kujivunia kutoka moyoni bila kuwa na ulaghai wa kutumia 4R kuwezesha chama chake pekee kuwa na wabunge 100% bunge la taifa na bunge la majimbo, Mheshimiwa Cyril Ramaphosa wa South Africa anajivunia jinsi ANC ilivyovuna 40 % ya kura huku chama kinachofuatia DA 21 % huku asilimia zilizobaki 39% zimegawana vyama vingine vidogo.As part of his itinerary during his visit to New York for the United Nations General Assembly, President Cyril Ramaphosa has spent the day engaging with the American business community. Earlier, the president had encouraged American business people to explore and seize business opportunities in South Africa. He is about to address the American business forum at the New York Stock Exchange
Huyo mzambia should be no-1Kwangu mimi hii ndio orodha ya viongozi bora Afrika kwa sasa.
1. Rais Samia Suluhu Hassan (Tanzania)
2. Dkt. Tulia Ackson (Spika wa Bunge la Tanzania na Rais wa IPU)
3. Rais Hakainde Hichilema (Zambia)
4. Rais Nana Akufo-Addo (Ghana)
5. Rais Cyril Ramaphosa (Afrika Kusini)
Mtoa orodha mwenyewe wewe unaona kichwani zinamtosha kweli1 and 2 wameharibu hiyo orodha
kazinguaMtoa orodha mwenyewe wewe unaona kichwani zinamtosha kweli
Wakati mwingine mnaweza kukuta mnafanyia kazi tafiti za wanywa gongo na walevi wa gongo.kazingua
Bure kabisa huyoWakati mwingine mnaweza kukuta mnafanyia kazi tafiti za wanywa gongo na walevi wa gongo.
Atakua kwenye top 10Kweli watu tunatofautiana sana hiyo list yako inamkosaje Ibrahim Traore?
Kwanini mkuuMtoa orodha mwenyewe wewe unaona kichwani zinamtosha kweli
Umewahi kufika Zambia ukaangalia maisha ya mwananchi mmoja mmojaHuyo mzambia should be no-1