1 Catherine Magige anavutia kwa sababu ameshika mahela mkononi baaaasi
2 Ninaogopa kukoment kwa Mary Mwanjetwa nisije nikamfuata babu Seya
1 Catherine Magige anavutia kwa sababu ameshika mahela mkononi baaaasi
2 Ninaogopa kukoment kwa Mary Mwanjetwa nisije nikamfuata babu Seya
Huyo namba 3 ndo yule aliyeambiwa apitie Dubai kwa ajili ya kustarehe na kiongozi wa upinzani bungeni?
Mkuu nimecheka sana sijui kama wengi wamekuelewa. Nikakumbuka ule wimbo " Seya uko wapiii Seya seya, vaa vizuri mpenzi wangu upendeze ............"
!
!
kavulana baba yake mtupu, rangi mofolojia ya ndoga, ka kike kama hakajafata kwa mama yake...basi kuna mtu atakuwa kama sio kaburini basi anaozea jela
Halafu nasikiaga mle jengoni Roho wa Uzinzi na Uasherati amening'inia pale langoni!
Watanzania kwa uongo hatujambo, kama uongo ungekuwa ni fursa, mbona nchi ingekuwa tajiri hii
Weka ukweli basi...
Hata mimi naona hivyo lakini wanajitetea kumfuata babu Seya sijui wana maana gani?kwani baba yake huyo mtoto wa kiume ni nani? mbona mnaongea kama mnamfahamu vile?
Kwa Staili hii Ya Upeo Sidhani Kama Tutaweza Kushindana na Waliotutangulia Kimaendeleo. Wakati Wenzetu Sasa Wanawaza Kupeleka Ndege ktk Sayari Ya Mars huku Wakiendelea Kufanya Innovations Mbalimbali Kwa Maendeleo Yao na Hapo Hapo Pia Wakitenga Bajeti Maalum Ya Kutusaidia Sisi MIAFRIKA Leo Mtu Kabisa Anakuja na Mada Ya Mbunge Gani wa Kike Anaongoza Kwa Mvuto. Nadhani Ungepeleka Kitu hiyo Facebook Ingefanikiwa Sana na Sidhani Kama Humu JF We do Entertain Such Stupidity of the Highest Order. Mvuto Wao Sijui Uzuri Wao au Urembo Wao Unawakilisha Nini Maisha Ya Watanzania Wengi Hohe Hahe? Nadhani Ulipashwa Useme Je Wabunge Warembo Wamesaidia Nini ktk Kuimarisha Hali za Kiuchumi, Kisiasa na Kijamii Kwa Watanzania Kidogo Ningekuweka ktk Kundi La Intellectuals ila Kwa Uzi Wako Huu Really You bored Me and I am so Sorry for My Harsh Words towards You!!!!!
Huyu bila shaka ni laini mbili! Nitampataje? Niko tayari kuuza kila kitu. Wasi wasi wangu naweza kuuza kila kitu halafu zisitimie!View attachment 135476
Ungejaribu kutuonyesha full kama hivi ili tujilizishe kama yale mambo yetu yapo "Mpondondo" kudadeki ila mzee nanii anafaidi.....
Usifanye mchezo Kagasheki ilibidi awalazimishe TANAPA wampe shilingi
milioni 20 kwenda kwenye NGO yake!! Unaona vikuku hivyo?