TOP 5. Wabunge Warembo Wenye Mvuto

TOP 5. Wabunge Warembo Wenye Mvuto

Status
Not open for further replies.
Halafu nasikiaga mle jengoni Roho wa Uzinzi na Uasherati amening'inia pale langoni!
 
attachment.php



attachment.php


attachment.php



attachment.php



attachment.php
 
1 Catherine Magige anavutia kwa sababu ameshika mahela mkononi baaaasi
2 Ninaogopa kukoment kwa Mary Mwanjetwa nisije nikamfuata babu Seya

{mkuu funguka nani anamiliki huu mzigo??}
 
Huyo mwenye watoto wawili amenifanya nichanganyikiwe kabisa, yaani kila nikiangalia picha naona kizunguzungu ila kuna njemba moja hivi naiogopa nisije kufia jela mie.
 
attachment.php


!
!
kavulana baba yake mtupu, rangi mofolojia ya ndoga, ka kike kama hakajafata kwa mama yake...basi kuna mtu atakuwa kama sio kaburini basi anaozea jela
Mkuu nimecheka sana sijui kama wengi wamekuelewa. Nikakumbuka ule wimbo " Seya uko wapiii Seya seya, vaa vizuri mpenzi wangu upendeze ............"
 
Mmemsahau Ana Makinda kwenye hiyo list. Mie mwenzenu kila nikimwona naishiwa nguvu kwa urembo wake.
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    87.4 KB · Views: 128
Halafu nasikiaga mle jengoni Roho wa Uzinzi na Uasherati amening'inia pale langoni!

Tunawaomba watumishi wa Mungu mwende pale mjengoni mkamkemee huyo roho wa uzinzi aondoke, asiendelee kuning'nia pale mlangoni, akiwavizia waishiwa wetu.
 
Huyo Esther enzi nipo UDSM ilikuwa ni utata mtupu akiingia kupiga pindi!!
 
Kwa Staili hii Ya Upeo Sidhani Kama Tutaweza Kushindana na Waliotutangulia Kimaendeleo. Wakati Wenzetu Sasa Wanawaza Kupeleka Ndege ktk Sayari Ya Mars huku Wakiendelea Kufanya Innovations Mbalimbali Kwa Maendeleo Yao na Hapo Hapo Pia Wakitenga Bajeti Maalum Ya Kutusaidia Sisi MIAFRIKA Leo Mtu Kabisa Anakuja na Mada Ya Mbunge Gani wa Kike Anaongoza Kwa Mvuto. Nadhani Ungepeleka Kitu hiyo Facebook Ingefanikiwa Sana na Sidhani Kama Humu JF We do Entertain Such Stupidity of the Highest Order. Mvuto Wao Sijui Uzuri Wao au Urembo Wao Unawakilisha Nini Maisha Ya Watanzania Wengi Hohe Hahe? Nadhani Ulipashwa Useme Je Wabunge Warembo Wamesaidia Nini ktk Kuimarisha Hali za Kiuchumi, Kisiasa na Kijamii Kwa Watanzania Kidogo Ningekuweka ktk Kundi La Intellectuals ila Kwa Uzi Wako Huu Really You bored Me and I am so Sorry for My Harsh Words towards You!!!!!

Mkuu wewe unataka kila wakati tuwe tumekunja ndita? Kila kitu na wakati wake, wakati wa kulia, wakati wa kucheka, wakati wa kuvuna na wakati wa kupanda. Mada kama hizi wakati mwingine zinatuondolea stress na kutufanya tupate burudani sasa kama wewe hupenda achana nazo. After all humu kuna mambo yote ukitaka utani, siasa, elimu, mapenzi, kazi, umbea, uchumi, biashara, nk wewe nenda kwenye topic unazozitaka. Ukiona topic inakukera achana nayo hiyo ujue ina wenyewe!
 
View attachment 135476

Ungejaribu kutuonyesha full kama hivi ili tujilizishe kama yale mambo yetu yapo "Mpondondo" kudadeki ila mzee nanii anafaidi.....



Usifanye mchezo Kagasheki ilibidi awalazimishe TANAPA wampe shilingi

milioni 20 kwenda kwenye NGO yake!! Unaona vikuku hivyo?
Huyu bila shaka ni laini mbili! Nitampataje? Niko tayari kuuza kila kitu. Wasi wasi wangu naweza kuuza kila kitu halafu zisitimie!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom