TOP 5. Wabunge Warembo Wenye Mvuto

Status
Not open for further replies.

haya kakojoe ukalale! Sijaona ubaya wa thread hii. Kuna muda wa kuwa serious, kufurahi na kucheka, kununa etc etc. nadhan wewe hulijui hilo..
 
View attachment 135476

Ungejaribu kutuonyesha full kama hivi ili tujilizishe kama yale mambo yetu yapo "Mpondondo" kudadeki ila mzee nanii anafaidi......!!!

Hakuna lolote,ni ma foundation na poda zinawang'arisha!!!! Wafanyie tathmini wakiamka asubuhi kabla ya kunawa uso!!! My wife ni mzuri bana.
 
Hakuna lolote,ni ma foundation na poda zinawang'arisha!!!! Wafanyie tathmini wakiamka asubuhi kabla ya kunawa uso!!! My wife ni mzuri bana.
Mkuu nani tena huyo jameni, kumbe Mjengoni kumekucha?
 
Mheshimiwa Catherine Magige akiwa ndani ya ukumbi wa Bunge, Dodoma.

 


!
!
kavulana baba yake mtupu, rangi mofolojia ya ndoga, ka kike kama hakajafata kwa mama yake...basi kuna mtu atakuwa kama sio kaburini basi anaozea jela
Taja jina au weka picha ya baba wa huyo kavulana ili tulinganishe! Else, ni uongo
 
Heshima Mbele Mkuu
Tukimsema tutafungiwa, wewe mfananishe tu huyo mtoto mvulana wa Vick kamata na Baba yake ,yaani bila kupepesa macho nasema wanafanana sana . Do your home work utakubaliana nami .Mbona wengine wemeshang‘amua bado wewe tu

Huwezi kufungiwa kwa kusema ukweli...
 

Kuna majukwaa mengine Mkuu....hapa tuache tujichanganye kwa staili hii tu

ukienda Siasani utakuta wanajadili siasa,ukienda kule kwenye Uchumi utakuta wanajadili hayo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…