No Comment ila Wenye Akili Zao Nadhani Wamenielewa na Ningeshangaa Kama Nisingepata Negative Reactions Kwa Ukweli Wangu Nilioutoa na HUO UKWELI UTABAKI DAIMA na MILELE. Wenzetu Wanafanya WALK THE WALK sisi bado Tuna TALK THE TALK. Nasikitika Sana na Kuna Hatari Ya Kuja Taifa La Mazuzu Siku za Usoni na Bado Hatujajitambua na Hatutajitambua Hadi KIAMA KIJE. Nimefunga Mjadala wa Hili Sasa!!!!!!!!!!!!!!
haya kakojoe ukalale! Sijaona ubaya wa thread hii. Kuna muda wa kuwa serious, kufurahi na kucheka, kununa etc etc. nadhan wewe hulijui hilo..


