TOP 5. Wabunge Warembo Wenye Mvuto

TOP 5. Wabunge Warembo Wenye Mvuto

Status
Not open for further replies.
Acha kuishi kwa assumption wewe... A spade will always be a spade... Sema kama unajua..otherwise, funga kiongeleo hicho.
Heshima Mbele Mkuu
Tukimsema tutafungiwa, wewe mfananishe tu huyo mtoto mvulana wa Vick kamata na Baba yake ,yaani bila kupepesa macho nasema wanafanana sana . Do your home work utakubaliana nami .Mbona wengine wemeshang‘amua bado wewe tu
 
Mh, Rev, Dr, G.R mbona hajawekwa kwenye hiyo orodha?, kwa nini umeweka rika moja tu?
 
..........jaribu kumfananisha na Dr. Slaah ! kama haingii basi yule Dr mwingine !

naona huyu Dr.wa ccbrt hafanani lakini yule wa karibu na soko la samaki ferry ni kama ukoo mmojaa vile!
 
Wanajamii, kwa sasa hii ndiyo top 5 ya Wabunge Warembo kabisa katika bunge letu tukufu.

Namba 1: Catherine Magige (CCM)
View attachment 135471

Namba 2: Vicky Kamata (CCM)
View attachment 135472

Namba 3: Joyce Mukya (CHADEMA)
View attachment 135473

Namba 4. Marry Mwanjelwa (CCM)
View attachment 135475

5. Esther Matiko (CHADEMA)
View attachment 135474

KUNA MWENYE SWALI..?

Kwa Staili hii Ya Upeo Sidhani Kama Tutaweza Kushindana na Waliotutangulia Kimaendeleo. Wakati Wenzetu Sasa Wanawaza Kupeleka Ndege ktk Sayari Ya Mars huku Wakiendelea Kufanya Innovations Mbalimbali Kwa Maendeleo Yao na Hapo Hapo Pia Wakitenga Bajeti Maalum Ya Kutusaidia Sisi MIAFRIKA Leo Mtu Kabisa Anakuja na Mada Ya Mbunge Gani wa Kike Anaongoza Kwa Mvuto. Nadhani Ungepeleka Kitu hiyo Facebook Ingefanikiwa Sana na Sidhani Kama Humu JF We do Entertain Such Stupidity of the Highest Order. Mvuto Wao Sijui Uzuri Wao au Urembo Wao Unawakilisha Nini Maisha Ya Watanzania Wengi Hohe Hahe? Nadhani Ulipashwa Useme Je Wabunge Warembo Wamesaidia Nini ktk Kuimarisha Hali za Kiuchumi, Kisiasa na Kijamii Kwa Watanzania Kidogo Ningekuweka ktk Kundi La Intellectuals ila Kwa Uzi Wako Huu Really You bored Me and I am so Sorry for My Harsh Words towards You!!!!!
 
Kwa Staili hii Ya Upeo Sidhani Kama Tutaweza Kushindana na Waliotutangulia Kimaendeleo. Wakati Wenzetu Sasa Wanawaza Kupeleka Ndege ktk Sayari Ya Mars huku Wakiendelea Kufanya Innovations Mbalimbali Kwa Maendeleo Yao na Hapo Hapo Pia Wakitenga Bajeti Maalum Ya Kutusaidia Sisi MIAFRIKA Leo Mtu Kabisa Anakuja na Mada Ya Mbunge Gani wa Kike Anaongoza Kwa Mvuto. Nadhani Ungepeleka Kitu hiyo Facebook Ingefanikiwa Sana na Sidhani Kama Humu JF We do Entertain Such Stupidity of the Highest Order. Mvuto Wao Sijui Uzuri Wao au Urembo Wao Unawakilisha Nini Maisha Ya Watanzania Wengi Hohe Hahe? Nadhani Ulipashwa Useme Je Wabunge Warembo Wamesaidia Nini ktk Kuimarisha Hali za Kiuchumi, Kisiasa na Kijamii Kwa Watanzania Kidogo Ningekuweka ktk Kundi La Intellectuals ila Kwa Uzi Wako Huu Really You bored Me and I am so Sorry for My Harsh Words towards You!!!!!

JF kuna:


  1. Jukwaa la Sayansi na teknolojia
  2. Kuna jukwaa la Great thinkers
  3. Kuna jukwaa la Siasa
  4. n.k.

Kwa kifupi nenda huko utakutana na wenzio na wenye perception/attitude kama yako.
 
JF kuna:


  1. Jukwaa la Sayansi na teknolojia
  2. Kuna jukwaa la Great thinkers
  3. Kuna jukwaa la Siasa
  4. n.k.

Kwa kifupi nenda huko utakutana na wenzio na wenye perception/attitude kama yako.

huyu jamaa mwehu!
 
Hao katika kufanyanao majamboz wanafaa!mwenye contact zao atusaidie tujaribu bahati...
 
JF kuna:


  1. Jukwaa la Sayansi na teknolojia
  2. Kuna jukwaa la Great thinkers
  3. Kuna jukwaa la Siasa
  4. n.k.

Kwa kifupi nenda huko utakutana na wenzio na wenye perception/attitude kama yako.

No Comment ila Wenye Akili Zao Nadhani Wamenielewa na Ningeshangaa Kama Nisingepata Negative Reactions Kwa Ukweli Wangu Nilioutoa na HUO UKWELI UTABAKI DAIMA na MILELE. Wenzetu Wanafanya WALK THE WALK sisi bado Tuna TALK THE TALK. Nasikitika Sana na Kuna Hatari Ya Kuja Taifa La Mazuzu Siku za Usoni na Bado Hatujajitambua na Hatutajitambua Hadi KIAMA KIJE. Nimefunga Mjadala wa Hili Sasa!!!!!!!!!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom