Top 5 ya Baridi, Njombe na Sumbawanga noma..

Top 5 ya Baridi, Njombe na Sumbawanga noma..

Aisee viwango vya joto kwa baadhi ya mikoa mwaka huu ni kwere maana imekuja kivingine, kuna maingizo mapya kwenye list ya top 5 kama Sumbawanga.

Huko wilayani kwenu Hali ikoje? List hii hapa
1.Njombe=5°C
2.sumbawanga=7°C
3.Mbeya=10°C
4.Iringa=12°C
5.Tabora=12°C
6.Singida=12°C





View attachment 1843745
Leo huku Arusha nimeshindwa hata kwenda jogging yaani
 
Dar es salaam kuna baadhi ya raia wanavaa makoti na kuchemsha maji ya kuoga.

Screenshot_2021-07-06-22-56-05-877_com.miui.weather2.jpg
 
Mbeya ukitoka kwenda msalani kurudi kitandani ka wamemwaga maji huu mwezi baridi imezidi
 
Unaambiwa Makete unalala na snake bed moja hakung'ati Wala Nini anatafuta joto mazee. Kunguru wanakufa wwnyewe tu winter Hilo babake! Sumbawanga kunakuwa na upepo flani hivi unavuma kwa nguvu halafu unaambatana na mchanga baba unachapa miguuni balaa. Dah basi hapo nipo std one nasoma Jangwani primary School natokea Regional block nakatisha pembeni ya katandala natoboa Jangwani mpaka shule pale. Nipo na my brother yeye alikuwa anasoma Sumbawanga primary school, yeye akipita katikati ya katandala dah RIP bro! Baridi inakung'uta bana. Hiyo ni 40 yrs ago wadau! Hahaha
 
Unaambiwa Makete unalala na snake bed moja hakung'ati Wala Nini anatafuta joto mazee. Kunguru wanakufa wwnyewe tu winter Hilo babake! Sumbawanga kunakuwa na upepo flani hivi unavuma kwa nguvu halafu unaambatana na mchanga baba unachapa miguuni balaa. Dah basi hapo nipo std one nasoma Jangwani primary School natokea Regional block nakatisha pembeni ya katandala natoboa Jangwani mpaka shule pale. Nipo na my brother yeye alikuwa anasoma Sumbawanga primary school, yeye akipita katikati ya katandala dah RIP bro! Baridi inakung'uta bana. Hiyo ni 40 yrs ago wadau! Hahaha
nimesoma kantalamba barid ya swax ni kama upo Russia mzee
 
Back
Top Bottom