t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Makete ni habari nyingine mkuuMakete imewakilishwa na Njombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makete ni habari nyingine mkuuMakete imewakilishwa na Njombe
Wagogo wamezoea juaDodoma ni 15°C
Unaambiwa Makete unalala na snake bed moja hakung'ati Wala Nini anatafuta joto mazee. Kunguru wanakufa wwnyewe tu winter Hilo babake! Sumbawanga kunakuwa na upepo flani hivi unavuma kwa nguvu halafu unaambatana na mchanga baba unachapa miguuni balaa. Dah basi hapo nipo std one nasoma Jangwani primary School natokea Regional block nakatisha pembeni ya katandala natoboa Jangwani mpaka shule pale. Nipo na my brother yeye alikuwa anasoma Sumbawanga primary school, yeye akipita katikati ya katandala dah RIP bro! Baridi inakung'uta bana. Hiyo ni 40 yrs ago wadau! Hahaha
Hizo readings za Njombe wamechukulia eneo gani, wakisomea Kitulo inaweza kuwa chini ya hapoAisee viwango vya joto kwa baadhi ya mikoa mwaka huu ni kwere maana imekuja kivingine, kuna maingizo mapya kwenye list ya top 5 kama Sumbawanga.
Huko wilayani kwenu Hali ikoje? List hii hapa
1.Njombe=5°C
2.sumbawanga=7°C
3.Mbeya=10°C
4.Iringa=12°C
5.Tabora=12°C
6.Singida=12°C
View attachment 1843745
Tuna plan ya kwenda ikonda hospital ipo huko, ninavojiandaa kama naenda frontline, K vants, fegs, kaya za kutosha Makoti mazito, buti nzito n. K maana ni zaidi ya wiki tutakua kuleKitulo si kuna snow kabisa.
Makete ndio iko wapi mkuu?Waweke makete kwanza