Top 5 ya wasanii waliomake mkwanja mwingi kwa huu mwaka 2016

Top 5 ya wasanii waliomake mkwanja mwingi kwa huu mwaka 2016

1.Diamond
Huu jamaa katengenza hela nyingi sana mwaka kuanzia kwny endorsement zake, show, kuuza mziki kwny digital platform plus label yake inayomwingzia mkwnja day after day

2.A.Y
Japo jamaa hategemei sana kwenye mziki kwa asa ivi ila kutokana na miladi yake kwa mfano ana kipindi eatv ambacho kwa mtazamo tu wa kawaida kinamwingizia mpunga wa kutosha kabisa

3.Weusi
Hawa jamaa nao kwa huu mwaka ulikuwa poa sana kwako maana wametoa ngoma Kali sana ambazo zimewapatia show za kutosha na zenye mkwanja mwingi

4.Navy kenzo
Hawa jamaa ni kati ya makundi yanoyofanya vizuri sana kwny huu mziki wa bongo flava na wamewaza kupata endorsement airtel ambayo nahisi iliwatengenezea mkwanja mwing sana plus wana studio yao the industry ambayo nayo inaingiza mpunga wa kutosha

5.lady jay dee
Binti machozi ukipenda mwite komando au anaconda, tokea arudi na ngoma yake ya ndi ndi ndi baada ya kukaa kimya takriban mwaka mmoja imemuweka pazuri kufanya show za kutosha tena zake yeye mwenyewe plus show kali kabisa aliyoifanya pale mlimani city ambapo kiingilio cha chini ilikuwa 50,000Tsh.

Huwo ndo mtazamo wng

Mwenye maoni tofauti anakarishwa coz hili ni jukwaa lenye uwanja mpana na linalowahusu macelebriti wetu so karibuni jamvini
Hizi research zenu mnafanyia geto huku mmeshiba shisha pelekeeni vinabo hukohuko.
Sio Kisa Jamii forum people talk openly basi unaopen hadi ujinga wako, sham3 on you puppy!
 
Hizi research zenu mnafanyia geto huku mmeshiba shisha pelekeeni vinabo hukohuko.
Sio Kisa Jamii forum people talk openly basi unaopen hadi ujinga wako, sham3 on you puppy!
Ongea kwa fact cyo kuropokwa tu
 
1. Diamond-Amepata Show nyingi, amepata endorsement na Vodacom, Ametoa Nyimbo Nyingi Pia. Balozi wa Chillsos, UMG( inasemekana kapata mkwanja wa maana), BET Nominations, But nasikitika Mond hajapata Tuzo kubwa mwaka huu, naamini baada ya kuja Prince Riaz bas Atafanya Maajabu makubwa zaidi, but namshauri arudi kidogo kwenye Mziki wake, Yaani ile Diamond Original kama ya Nenda Kamwambie, Mbagala, Nitarejea, Ukimwona (sauti original haichuji haraka), Utanipenda
Mfano Mzuri ni Salome ile nyimbo imebamba kwa sababu Rayvany kaimba sauti original!

2.Alikiba-Amepata show na Chris Brown, Amepata Show MTV Mama, Amefungua Fiesta, Amefunga Fiesta, AJE imempa Mkwanja na kumtambulisha, Maana Aje imeuzwa sana TZ, Imeuzwa Kenya, Uganda, South Africa, Nigeria na ktk Mitandao mingine zaidi ya 700 duniani, Amepata dili na Sony (inakadiriwa Billioni Moja ya Kitanzania), Mwendokasi Festival, Phatom 6 Techno Uzinduzi Dubai, Bado ni Balozi wa Tembo! Jamaa bado anatisha sana kuimba nyimbo zenye hisia kali!
Kwa mfano: Alichonipa mimi Mungu unakijua, sina haja ya kujitutumua nikaumia.

3.VeeMoney-Huyu anafight sana, Amefanya vizuri, na amepata nominations nyingi, lakini nyimbo zake pia ni nzuri. naamini kamake mkwanja na DSTV, pamoja na Samsung. Coke Studio

4.JohMakin-Kapata show mdogo mdogo ft weusi na Jux, Coke studio

5.WCB Artist-Wamepata show wakiongozwa na RayMond kupitia kwetu mpaka kutajwa MTV MAMA siyo mchezo.

Unaruhusiwa kuedit, laiti kama tungalikuwa tunajua figures basi ingalikuwa rahisi sana,
Haya ni Maoni yangu.
 
1. Diamond-Amepata Show nyingi, amepata endorsement na Vodacom, Ametoa Nyimbo Nyingi Pia. Balozi wa Chillsos, UMG( inasemekana kapata mkwanja wa maana), BET Nominations, But nasikitika Mond hajapata Tuzo kubwa mwaka huu, naamini baada ya kuja Prince Riaz bas Atafanya Maajabu makubwa zaidi, but namshauri arudi kidogo kwenye Mziki wake, Yaani ile Diamond Original kama ya Nenda Kamwambie, Mbagala, Nitarejea, Ukimwona (sauti original haichuji haraka), Utanipenda
Mfano Mzuri ni Salome ile nyimbo imebamba kwa sababu Rayvany kaimba sauti original!

2.Alikiba-Amepata show na Chris Brown, Amepata Show MTV Mama, Amefungua Fiesta, Amefunga Fiesta, AJE imempa Mkwanja na kumtambulisha, Maana Aje imeuzwa sana TZ, Imeuzwa Kenya, Uganda, South Africa, Nigeria na ktk Mitandao mingine zaidi ya 700 duniani, Amepata dili na Sony (inakadiriwa Billioni Moja ya Kitanzania), Mwendokasi Festival, Phatom 6 Techno Uzinduzi Dubai, Bado ni Balozi wa Tembo! Jamaa bado anatisha sana kuimba nyimbo zenye hisia kali!
Kwa mfano: Alichonipa mimi Mungu unakijua, sina haja ya kujitutumua nikaumia.

3.VeeMoney-Huyu anafight sana, Amefanya vizuri, na amepata nominations nyingi, lakini nyimbo zake pia ni nzuri. naamini kamake mkwanja na DSTV, pamoja na Samsung. Coke Studio

4.JohMakin-Kapata show mdogo mdogo ft weusi na Jux, Coke studio

5.WCB Artist-Wamepata show wakiongozwa na RayMond kupitia kwetu mpaka kutajwa MTV MAMA siyo mchezo.

Unaruhusiwa kuedit, laiti kama tungalikuwa tunajua figures basi ingalikuwa rahisi sana,
Haya ni Maoni yangu.
Open minded. Safi sana
 
1.Diamond
Huu jamaa katengenza hela nyingi sana mwaka kuanzia kwny endorsement zake, show, kuuza mziki kwny digital platform plus label yake inayomwingzia mkwnja day after day

2.A.Y
Japo jamaa hategemei sana kwenye mziki kwa asa ivi ila kutokana na miladi yake kwa mfano ana kipindi eatv ambacho kwa mtazamo tu wa kawaida kinamwingizia mpunga wa kutosha kabisa

3.Weusi
Hawa jamaa nao kwa huu mwaka ulikuwa poa sana kwako maana wametoa ngoma Kali sana ambazo zimewapatia show za kutosha na zenye mkwanja mwingi

4.Navy kenzo
Hawa jamaa ni kati ya makundi yanoyofanya vizuri sana kwny huu mziki wa bongo flava na wamewaza kupata endorsement airtel ambayo nahisi iliwatengenezea mkwanja mwing sana plus wana studio yao the industry ambayo nayo inaingiza mpunga wa kutosha

5.lady jay dee
Binti machozi ukipenda mwite komando au anaconda, tokea arudi na ngoma yake ya ndi ndi ndi baada ya kukaa kimya takriban mwaka mmoja imemuweka pazuri kufanya show za kutosha tena zake yeye mwenyewe plus show kali kabisa aliyoifanya pale mlimani city ambapo kiingilio cha chini ilikuwa 50,000Tsh.

Huwo ndo mtazamo wng

Mwenye maoni tofauti anakarishwa coz hili ni jukwaa lenye uwanja mpana na linalowahusu macelebriti wetu so karibuni jamvini
Ali kiba anakua namba mbili kwenye list.Otherwise list yako ni fake
 
Hahaahaha nimejikuta tu nacheka sina cha kupost ushaamua uweke ww hvo. hv jide ukitoa ile show ya 50 kuna nyingne aliyofanya kama ile? kiasi cha kumueka awe rich 2016?
Vp kuhusu weusi show ipi waliyoifanya zaidi ya imooooo!
Huyo Ay je? aiseee unaniumiza kichwa....

Umetumia utajiri wa shows au nyimbo nyingi?

Tupe list yako itasaidia kucompare
 
1.Diamond
Huu jamaa katengenza hela nyingi sana mwaka kuanzia kwny endorsement zake, show, kuuza mziki kwny digital platform plus label yake inayomwingzia mkwnja day after day

2.A.Y
Japo jamaa hategemei sana kwenye mziki kwa asa ivi ila kutokana na miladi yake kwa mfano ana kipindi eatv ambacho kwa mtazamo tu wa kawaida kinamwingizia mpunga wa kutosha kabisa

3.Weusi
Hawa jamaa nao kwa huu mwaka ulikuwa poa sana kwako maana wametoa ngoma Kali sana ambazo zimewapatia show za kutosha na zenye mkwanja mwingi

4.Navy kenzo
Hawa jamaa ni kati ya makundi yanoyofanya vizuri sana kwny huu mziki wa bongo flava na wamewaza kupata endorsement airtel ambayo nahisi iliwatengenezea mkwanja mwing sana plus wana studio yao the industry ambayo nayo inaingiza mpunga wa kutosha

5.lady jay dee
Binti machozi ukipenda mwite komando au anaconda, tokea arudi na ngoma yake ya ndi ndi ndi baada ya kukaa kimya takriban mwaka mmoja imemuweka pazuri kufanya show za kutosha tena zake yeye mwenyewe plus show kali kabisa aliyoifanya pale mlimani city ambapo kiingilio cha chini ilikuwa 50,000Tsh.

Huwo ndo mtazamo wng

Mwenye maoni tofauti anakarishwa coz hili ni jukwaa lenye uwanja mpana na linalowahusu macelebriti wetu so karibuni jamvini
Umejitahidi kutunga verse bado kuingia studio tu ..
 
Umetumia method gani kufanya utafiti au ni Hisia zako tu
 
Weka facts hapa usiweke curiousity
Kaka tatzo research yang unaona kama yakishabiki lkn imejaa uhalisia kabisa kuwa howo ndo wasanii walioingiza pesa nyingi kaka

Wengne w alikuwa wasindikizaji tu na watafuta sifa
 
Back
Top Bottom