Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 614
Tina,
Hivi anayekaa hotelini ni Prof. Lipumba nini?
Kama ni huyo, basi nabadili URAIA na UKABILA. Au itabidi nianze kutafuta kithibitisho kuwa Lipumba SI MNYAMWEZI. Kama Mirambo akifufuka leo, basi huyu Lipumba atachukuliwa ISELAMAGAZI na Walugaluga, na akifika huko basi watapiga hadi mifupa ionekane.
LIPUMBA UNATUTIA AIBU KAKA YETU. Kama mambo magumu, nenda tu UDSM ukafundishe na uachane na haya MATAPISHI. SHAME ON YOU.
BURN: Huyu kaka yetu, vijana wa CCM Tabora, CCM Tabora, kwa kweli itatufanya milele tubaki na umasikini wetu, Wanyamwezi siye. Sijui tumelaaniwa nini?
"LIPUMBA veve, lekaga ikuluye kulya vya vantu, vilakufumile mu-nyindo."
Sikonge, ninavyojua mimi si Lipumba, ila yeye anabariki na ananufaika kwa kiwango cha juu. Hiyo si siri na wengi pale CUF wanajua. Mtu anayekaa hotelini ni kutoka Zanzibar, na ni mtu anayeheshimika sana. Sijui nchi imeingiwa na mdudu gani jamani. Hii inatisha sana. Labda Tina ana zaidi ya hivi