Top Richest People in Tanzania

Top Richest People in Tanzania

Statistics gani hazina namba!?
Eti, 'they are believed to!'
Ilitakiwa tuone figures bwana!
 
Huyu Mrema mwenye mahoteli kule Arusha na magari ya Tours na magari meengi ya mizigo nae wamemsahau!!!!!!!!!!!!Mwenye Ngurdoto
 
Huu utafiti ni wa watu wa Kenya...
Sioni base yoyote ya kuwasample hao kuwa ndio richest people in Tanzania. Pia wealth yao haikuonyeshwa.

Nakubaliana kabisa na wewe mkuu. Sisi bado mambo mengi yanafichwa nyuma ya pazia kwahiyo ni ngumu kujua utajiri halisi wa mtu. Wenzetu kwasababu ya kodi lazima kila kitu kiwekwe wazi kwahiyo ni rahisi kujua utajiri wa muhusika.
 
Huu utafiti ni wa watu wa Kenya...
Sioni base yoyote ya kuwasample hao kuwa ndio richest people in Tanzania. Pia wealth yao haikuonyeshwa.

Kuna mitajiri ambayo hailipi kodi lakini inaiba kodi za wananchi haijatajwa hapo na yote ni wanachama wa CCM
 
Rz1 wa saba hapo...he owns lakeoil,darlive,maisha club of mtwara,vilevile ana huge share wama..
 
Kadinali Pengo, tajiri namba moja Tanzania.

Baada ya Serikali ardhi kubwa Tanzania anamiliki yeye kupitia Kanisa Katoliki.
 
Naona mmewasahau,

Kakobe
Lwakatare
 
Kadinali Pengo, tajiri namba moja Tanzania.

Baada ya Serikali ardhi kubwa Tanzania anamiliki yeye kupitia Kanisa Katoliki.

Ulitaka amiliki Majini kama.............................................. nikimalizia itafuata ban
 
hiyo list ni feki na imetegemea hisia za mtu na si uhalisia. Kuna mtu kama Al Kassim mmiliki wa Tanzania Road Haulage mwenye yadi kubwa zaidi ya kuhifadhi shaba na makontena Kurasini na malori mia kidogo ya kusafirisha mizigo East and Central Africa. Kuna watu kama Sophia Apartments kuna watu kama Sabodo na kadhalika.
 
kwa sasa mtu tajili ni yule aliye na ardhi kubwa kuliko wote coz ardhi inapanda bei kila siku na haiharibiki.....kama wote tunakubaliana juu ya hilo....the rechest man in tanzania kwa maoni yangu is a president ambaye sheria ya ardhi ( kama sijakosea S. 3 ya Land Act) inasema ardhi yote itakuwa chin ya mamlaka ya prsidaaa mpo hapo.....kwa hiyo hapo ulipo mda huu sio kwako kwa mh. kwa hiyo hao mliyowataja hawana lolote mh.akiamua lolote they will be the poorest people in tanzania
 
Who are the richest people in Tanzania? Or who are the wealthiest people in the republic of Tanzania? Are some of the many questions asked by the people of Tanzania who want to know the kind of wealth, amount of money and other resources their countrymen and women own.


There are indeed a lot of wealthy people in Tanzania and this article is all about putting into perspective and knowing them. Below is a listing of some of the richest people in Tanzania and what they own.


1. Said Salim Bakhresa

Who is Said Salim?
Said Salim Awadh is the founder and chairman of the Bakhresa group f companies in Tanzania. He is an industrialist, philanthropist and entrepreneur who has created a successful business empire consisting of several companies in only three decades.


How wealthy is Said Salim?
Said Salim is undoubtedly one of the richest people in Tanzania. His business empire is vast and has operations in Tanzania, Mozambique, Uganda and Malawi. Some of said Salim's wealth include

  • Azam grain milling
  • He has also invested in passenger sea transportation
  • Sale and marketing of plastic packaging materials
  • He also has vast interest in the food and drinks industry.
2. Aziz Abood

Who is Aziz Abood?
Aziz Abood is also one of the richest men in Tanzania. The Tanzanian tycoon has invested in many sectors of the economy like passenger transportation, information and communication (owns tv and radio station), food factories and truck manufacturing company.


3. Nasoro (Superstar / Super-doll)

Nasoro is also a rich Tanzanian who has made massive investments. The economy of Tanzania is incomplete without the mention of Nasoro's businesses. Some of the businesses Nasoro owns include;

  • Real estate properties
  • Passenger transportation (superstar buses, royal buses)
  • Logistics (doll trailers)
  • Also owns a considerable number of shares in Mtibwa sugar company.
4. Mohamed Dewji

Mohamed Dewji is yet another rich person in the republic of Tanzania. Dewji has a sizeable number of investments and businesses ranging from factories, commercial and residential properties and shares in many of the leading companies in Tanzania.


5. Reginald Mengi
Reginald Abraham Mengi is a well known Tanzanian industrialist, entrepreneur and media mogul. Mengi is the founder of IPP Group which is one of the region's biggest privately owned companies. The company has its base in the city of Dar es Salaam. Other than the IPP Group, Mengi also has interests in;

  • IPP consulting company
  • Coca-cola franchise holder (Bonite bottlers and Kilimanjaro spring water)
  • IPP Media which comprises of the Guardian, Alasiri, Nipashe, independent, kasheshe, ITV, EATV, sky fm and the east Africa radio.


6. Michael Ngaleko

Michael Ngaleko is also among the richest people in Tanzania. He is believed to own a considerable number of shares in some of the biggest companies in east Africa. He also has an interest in Precision air which is a regional airline that specializes in passenger and cargo transportation in the east African region.


7. Fida Hussein (Africarriers)
Fida Hussein is yet another of the richest people in Tanzania. Some of the businesses associated with this business personality include;


  • Africarriers,
  • Commercial and residential properties including raha and Zahra towers.
8. Yussuf Manji
Yussuf Manji is another of the top richest people in Tanzania. He owns substantial interest in some of the largest companies in the region and is believed to be worth hundreds of millions of Tanzanian shillings. He has invested in properties (both residential and commercial), the auto industry and he is also the founder of the Quality Group.


9. Nazir Mustafa Karamagi



Rounding up of our top richest people in Tanzania is Nazir Mustafa Karamagi. He is a successful businessman believed to be worth hundreds of millions of shillings. He is the owner of the famous Tanzania international container.


Apart from the above mention people, honorable mention also goes to the following individuals who are also believed to be among the richest in tanzania

  • Edward Ngoyayi Lowassa
  • Mohamed Aboud
  • Tarimba Abass
  • Philemon Ndesamburo
Source: The Top Richest People In Tanzania

This is a good attempt in a vast area which needs a lot of research. Methodologies for computation would help readers appreciate reliability of information provided. If you visit Forbes and Fortune you will be clearly benchmarks used to establish various Lists (eg holding of shares in large stock markets NYSE, FTSE, NIKEI etc.)


Errors: Foe example, item number 7 above, Owner of Zahra Tower is Mr. Anwarali Dharamsi of Tanzania Road Haulage (1980) Ltd and not Fidahussein.
 
Kuna yule Zakaria nae anauza vyakula vyakula kwa sana ana viwanda hapa ndani 13 sabuni,mafuta etc pia anaagiza hadi cement nje zaidi container 250 kwa mwezi!rejea wafanyabiashara walioitwa kwa JK kusaidia Somalia!

Huyu kwako ndio tajiri?
 
Back
Top Bottom