Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.
Usisahau mkataba wa kutumia maji na vyanzo vya mto Nile, hata ziwa Victoria hatukutakiwa kuyatumia maji wenzetu wa Mwanza na Shinyanga wapate maji, nakumbuka ni Lowasa ndio alivunja huu mkataba unaowapa Egypt haki pekee ya kutumia maji haya, na usisahau mkataba huu uliandaliwa na Uingereza.

Nilichojifunza ni kitu kimoja tu, Uingereza ni mabingwa wa mikataba ya kinyonyaji na badly sheria zetu bado tunatumia kingereza na mikataba ya ndani kwa kingereza pia, inshort tumeadopt system ya kinyonyaji.
Umeongea vyema mkuu
 
Mdau kwani kuna tatizo?na kama.lipo ni lipi?JF hawajaweka sharti kwamba ulileta bandiko uweke na citation au sosi,wewe kama utalibeba hapa unaweza ukaandika sosi JF au flan wa JF au usiandike,na kama unajua kuna sosi ya hizi stori bas si mbaya uka clarify japo haina umuhim kiviiile.Kwa aina ya maandiko na mahali yalipowekwa


That's right, hakuna sharti JF la kutoa "sosi" lakini ni yeye ndio ameanza ku get tekniko hapa kwa kutoa masharti ya haki miliki. Uki invoke haki miliki lazima tukwambie na wewe tupe sosi yako nini na yako ya kichwani hapa ni yepi?

Wewe kitu umepakua kwenye public archives ukakimwaga kama kilivyo hapa, utadaije hakimiliki?
 
Mkuu,

Hebu tufafanulie "plagiarism" ni nini? Sheria ya Hakimiliki na Hakishiriki, Na. 7 ya mwaka 1999 imevunjwa wapi na mwandishi kwenye simulizi yake? Tufafanulie ISBN (Internation Standard Book Number) ni nini na inatolewaje?

Kaka ...

Mkubwa,

Again, sio mimi niliyeanza ku get technical hapa, yeye ndio ka invoke haki miliki!

Sikuanza kwa kusema atuonyeshe ISBN yake wala copyright. Yeye kaji compare na kitabu cha Msekwa ambacho ni true stori ya Nyerere. Hoja yake kadai, ukiandika vitu true stori ina maana hiyo siyo mali yako? Nikamwambia Msekwa simulizi lake lina ISBN na lina registered copyright.

Wewe unaedai haki miliki kwa kitu ulichokimeza kwenye public archives ukakitema hapa tuonyeshe basi na wewe ISBN na copyright kama ya Msekwa! Hana!

Alipokuja kujibu hoja kaanza na tuheshimiane, halafu katukana, kamalizia tena kwa kusema tuheshimiane, kasepa!

Mtu anaesema "tuheshimiane" halafu anatema matusi mwanzo mwisho halafu anamalizia na "tuheshimiane" huwezi kunambia hajadata!
 
That's right, hakuna sharti JF la kutoa "sosi" lakini ni yeye ndio ameanza ku get tekniko hapa kwa kutoa masharti ya haki miliki. Uki invoke haki miliki lazima tukwambie na wewe tupe sosi yako nini na yako ya kichwani hapa ni yepi?

Wewe kitu umepakua kwenye public archives ukakimwaga kama kilivyo hapa, utadaije hakimiliki?
Mkuu naona watu wanakushambulia sana ngoja mie nikupe ushauri tu ili usiendelee kugombana na watu.

Fanya na wewe uende kupakua na uje kumwaga humu na kuruhusu watu wanakili,maana hakuja haja ya kubishana na watu humu ikiwa The Bold anajua kuwa mtu yeyote anaweza kwenda kupakua kama alivyopakua yeye na wewe unajua unaweza kupakua na kuja kumwaga humu.
 
Bila shaka...
Anza na alama na herufi hii kabla ya neno unalotaka kubold [ b ] kisha malizia hivi [ /b ]
Mfano
Kama wewe ulivyouliza "Mkuu Nifah unaweza kunifundisha kubold neno/sentensi?"
Ukitaka kubold hiyo sentensi anza na [ b ] mwanzo kabisa mwa maneno unayotaka kuyabold...kisha malizia na. [ /b ] mwishoni mwa sentensi.
Kumbuka usiache nafasi kabla na baada ya hizo alama.
Namaanisha hizo herufi ndani ya mabano usiache nafasi baina ya mabano na herufi/alama.

Here we go...bold maneno sasa katika maelezo yangu haya.
Karibu.
upo vizuri bi'dada
 
Unazitendea sana nyuzi zako mkuu The bold.

Kama ukipata nafasi na uwezo,ningependa siku moja uelezee moja ya vifuatavyo ( au vyote ukiweza)

1. Gaddaf na Libya ( influence ya Westerners)
2. Israel na Palestina
3. Influence ya westerners ktk groups like IS,Boko haram n.k

Shukrani.
 
The Bold. Asante kwa kunijongesha kiasi cha kujisajili ili nikujibu. Kwa miaka nimekuwa niki peruse as a stranger kwenye hii forum (Jamii Forum). Asante kwa kunijongesha. Kiasi cha kusema napenda makala zako hasa zinazohushisha tafiti. Hii pia ni kama kukubali kwamba I strongly try to understand myself via you. Hadi wakati huu, tafadhali ikupendeze kusikiliza maneno yangu mafupi hapa Jamii Forum (maneno ya kwanza niliyo post), "unakipaji cha kipekee" kwa sababu zifuatazo:
1. Katika ulimwengu ambao takribani vitu vingi vimesha andikwa kazi yako ya kutafiti, kuhariri, kuelezea kwa lugha nyepesi si tu ni kipaji cha pekee bali ni kipaji kinachohitajika sana kwa sasa. Nakupa moyo.
2. Mrengo unaouchukuwa wa kujadili complicated scenarios na hoja zinazo Appeal kwa wasomi ni jambo Jema sana kwa mustakabali wa kipaji chako hasa ukizingatia Jamii ya wasomi wa daraja la kati (degree) holders wanavyo ongezeka.
3. Uamuzi wa kusimama kati ya kilichojiri na wanaotaka kufahamu kilichojiri ni uamuzi wa busara sana kati ya maamuzi uliyo yafanya, ni kama umeshafahamu aina ya kipaji chako. Nakuhakikishia hicho ni kipaji cha Muhimu sana kwa zama hizi ambazo taarifa ipo kwenye viganja vyetu. Asante sana bro.
 
Nilikosea kupost humu picha....nauheshimu huu Uzi mana niwakiheshima....ilikuwa PC ya makapuku sio humu sorry kwa aliyekwazika
 
11454820fc528e15436f182db3e99783.jpg
Kweli JF ina watu wa kila namna.
 
Unazitendea sana nyuzi zako mkuu The bold.

Kama ukipata nafasi na uwezo,ningependa siku moja uelezee moja ya vifuatavyo ( au vyote ukiweza)

1. Gaddaf na Libya ( influence ya Westerners)
2. Israel na Palestina
3. Influence ya westerners ktk groups like IS,Boko haram n.k

Shukrani.
Bila shaka Mkuu! Nitafanyia kazi hayo mapendekezo..
 
That's right, hakuna sharti JF la kutoa "sosi" lakini ni yeye ndio ameanza ku get tekniko hapa kwa kutoa masharti ya haki miliki. Uki invoke haki miliki lazima tukwambie na wewe tupe sosi yako nini na yako ya kichwani hapa ni yepi?

Wewe kitu umepakua kwenye public archives ukakimwaga kama kilivyo hapa, utadaije hakimiliki?

Bwana undisputed 'heavyweight' champ...we kazi yako huwa ni kukosoa tu wenzio?

Manake karibu kila sehemu wewe ni kupondaponda tu....unaona ni sifa eh?
 
The Bold. Asante kwa kunijongesha kiasi cha kujisajili ili nikujibu. Kwa miaka nimekuwa niki peruse as a stranger kwenye hii forum (Jamii Forum). Asante kwa kunijongesha. Kiasi cha kusema napenda makala zako hasa zinazohushisha tafiti. Hii pia ni kama kukubali kwamba I strongly try to understand myself via you. Hadi wakati huu, tafadhali ikupendeze kusikiliza maneno yangu mafupi hapa Jamii Forum (maneno ya kwanza niliyo post), "unakipaji cha kipekee" kwa sababu zifuatazo:
1. Katika ulimwengu ambao takribani vitu vingi vimesha andikwa kazi yako ya kutafiti, kuhariri, kuelezea kwa lugha nyepesi si tu ni kipaji cha pekee bali ni kipaji kinachohitajika sana kwa sasa. Nakupa moyo.
2. Mrengo unaouchukuwa wa kujadili complicated scenarios na hoja zinazo Appeal kwa wasomi ni jambo Jema sana kwa mustakabali wa kipaji chako hasa ukizingatia Jamii ya wasomi wa daraja la kati (degree) holders wanavyo ongezeka.
3. Uamuzi wa kusimama kati ya kilichojiri na wanaotaka kufahamu kilichojiri ni uamuzi wa busara sana kati ya maamuzi uliyo yafanya, ni kama umeshafahamu aina ya kipaji chako. Nakuhakikishia hicho ni kipaji cha Muhimu sana kwa zama hizi ambazo taarifa ipo kwenye viganja vyetu. Asante sana bro.
Aisee! Am speechless..

Kwanza nashukuru sana kwa kuchangia kukushawishi ujiunge na JF.. Its an honour, karibu sana Mkuu..

Pia Nashukuru kwa pongezi na maneno mazito ya kunitia moyo.. Nimeyahifadhi moyoni, yana maana kubwa sana..

Tuendelee kuwa pamoja Mkuu George Dalali! Shukrani sana..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom