Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.
Sasa kama sio academic work bali ni stori tu kama za kitaa kwa nini mnamaindi wadau wakisambaziana story? Kwamba isitumike bila ruhusa, yeye mwenyewe kapakua bure sehemu... hana haki miliki
Mdau kwani kuna tatizo?na kama.lipo ni lipi?JF hawajaweka sharti kwamba ulileta bandiko uweke na citation au sosi,wewe kama utalibeba hapa unaweza ukaandika sosi JF au flan wa JF au usiandike,na kama unajua kuna sosi ya hizi stori bas si mbaya uka clarify japo haina umuhim kiviiile.Kwa aina ya maandiko na mahali yalipowekwa
 
Kuna makala zinaandikwa humu za kijasusi na kiintelejensia na wadau mbali mbali.

Sipitwi na story za hawa jamaa, kila mmoja kwa nafasi yake natoa pongezi.

Kwangu The bold namfananisha na Dk Leakey kwenye uchambuzi wa habari za soka, ana vitu vya zaidi anaviongezea kwenye story zake ambavyo huvipati kwingine isipokuwa kwake tu.
 
Nani sasa anaetakiwa kujiheshimu, mimi au yeye mleta mada anaejibu matusi bila hoja?

Ningependa kumuona mtunzi huyu anakomaa kitamthiliya, hivyo ni lazima ajifunze mambo ya proper attribution, claims of copyright na ku avoid plagiarism.

Huwezi kubandua hekaya za watu kutoka maktaba ya rekodi za makumbusho Washington University, ukayabandika mitandaoni na kudai haki miliki.

Dai lake la haki miliki amelifananisisha na kitabu cha Msekwa kuhusu Nyerere, yani non-fiction.

Huyu, tofauti na Msekwa, hana ISBN wala registered copyright lakini kasisitiza biti kali kwamba watu wasitumie hii hadithi.

Sasa katoa chanzo kimoja ku cover tunzi nzima, je, ili adai haki miliki, atueleze, yepi ya kwake ya kichwani, yepi kameza public archives katema hapa kama yalivyo.

Mkuu,

Kwanza nitangaze maslahi, mimi ni shabiki wa simulizi za The bold na nimejitahidi kusoma kwa kujifunza katika simulizi hizo. Kuhusu hoja yako, kwanza namtetea mwandishi huyu kuwa ana haki ya kuzuia watu wengine kunakili alichokiandika bila ya ridhaa yake. Unafikiri ni sahihi mtu kunakili simulizi hii "kama ilivyoandikwa" na The Bold kuiweka kwenye gazeti au chombo kingine cha habari?

Hebu tufafanulie "plagiarism" ni nini? Sheria ya Hakimiliki na Hakishiriki, Na. 7 ya mwaka 1999 imevunjwa wapi na mwandishi kwenye simulizi yake? Tufafanulie ISBN (Internation Standard Book Number) ni nini na inatolewaje?

Kaka ...
 
Hii kidogo inachosha. Lakini umeeleweka. Kumbe migogoro mingi kwenye nchi zenye machafuko marekani wanahusika. Imenifanya nifikirie kinachoendelea huko Syria.
Ahsante mkuu The bold
 
Kuna makala zinaandikwa humu za kijasusi na kiintelejensia na wadau mbali mbali.

Sipitwi na story za hawa jamaa, kila mmoja kwa nafasi yake natoa pongezi.

Kwangu The bold namfananisha na Dk Leakey kwenye uchambuzi wa habari za soka, ana vitu vya zaidi anaviongezea kwenye story zake ambavyo huvipati kwingine isipokuwa kwake tu.
Shukrani sana 'shem lake'.. [emoji1]

Nathamini sana support yako Mkuu..
 
Nifah kama haya yanayoendelea akilinimwenu yanauhalisia mm nitachangia costa yakuwabeba member wa jf kwenda mt kilimakyaro kula bata[emoji255] [emoji255] [emoji255] [emoji255] [emoji255] [emoji255]
Nimeandika hii ahadi kwenye diary Mkuu [emoji1]

Siku si nyingi nitakukumbusha..
 
Wooooow wanafunzi wangu mko vizuri kwakweli.
Watu wa Jamii Intelligence sio wa mchezo mchezo [emoji23] [emoji122] [emoji122]
Mwalimu mzuri sana wewe mama'ngu! Na mimi kuna kitu nataka unifundishe..
Ntakwambia kule private [emoji1] [emoji4]
 
Shukrani sana 'shem lake'.. [emoji1]

Nathamini sana support yako Mkuu..

Sure man, kuna vionjo flani ukimsikia Dr Leakey akiwa anafanya uchambuzi huwa anaviweka, huwezi kuvipata kwa kina Kumwembe, Shafii, Kumba et al, the same kwenye nyuzi zako kuna vionjo ambavyo sivipati kwingine.

All in All natambua mchango wenu kwa pamoja mkuu.

Big Up sana.

[HASHTAG]#Nawaona[/HASHTAG] nawaona
 
Sure man, kuna vionjo flani ukimsikia Dr Leakey akiwa anafanya uchambuzi huwa anaviweka, huwezi kuvipata kwa kina Kumwembe, Shafii, Kumba et al, the same kwenye nyuzi zako kuna vionjo ambavyo sivipati kwingine.

All in All natambua mchango wenu kwa pamoja mkuu.

Big Up sana.

[HASHTAG]#Nawaona[/HASHTAG] nawaona
Hhahaha Dr. Leaky sio wa mchezo mchezo aisee..

Heshima kubwa sana kunifananisha naye.. Am humbled [emoji120]

Najua unatuona Mkuu! Usisahahu kuangalia angalia kwenye ramli kama ndugu yako sijafanyiwa yale mambo yale na huyu binti! maana huku kutekwa ni kwa kiwango cha lami aisee.. [emoji23] [emoji23]
Binti yuko kwenye her own standards.. You can't compare [emoji1] [emoji4] [emoji4]
 
Hhahaha Dr. Leaky sio wa mchezo mchezo aisee..

Heshima kubwa sana kunifananisha naye.. Am humbled [emoji120]

Najua unatuona Mkuu! Usisahahu kuangalia angalia kwenye ramli kama ndugu yako sijafanyiwa yale mambo yale na huyu binti! maana huku kutekwa ni kwa kiwango cha lami aisee.. [emoji23] [emoji23]
Binti yuko kwenye her own standards.. You can't compare [emoji1] [emoji4] [emoji4]

Kamateni hiyo kwa pamoja



cc Nifah
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom