Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.

Alhamdulillah ni me...[emoji120]
 

Mkuu,

Labda niulize kwa kifupi tu, kwako ni sawasawa mtu mwingine akichukua hili simulizi hapa kama lilivyowekwa na mkuu The bold halafu akalichapisha kwenye gazeti au chombo kingine cha habari!

Kaka ...
 
thnx the BOLD kwa kazi zako za kila siku... big up braza..

ushawahi toa thread yoyote inayohusu chimbuko la makundi ya kigaidi dunian.... km ndio naipata wap.. na kama bado naiomba tafadhar... hongera kwa kazi
 
Mkuu the bold me usiwe unaniita kabisa maana nimekua nasoma kimyakimya mpaka leo nimeamua kutoa volume ila we jamaa wewe ni cheche nzi haruki
 
Mkuu the bold me usiwe unaniita kabisa maana nimekua nasoma kimyakimya mpaka leo nimeamua kutoa volume ila we jamaa wewe ni cheche nzi haruki
Hahahah!! Pamoja sana Mkuu.. Shukrani
 
sweetdarling#...............haya
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…