Tetesi: Top secret: Sio Ikulu,Sio Tis wala kikosi maalumu kiliruhusu Risasi zitumike kwa waandamanaji je who authorize..

Angelengwa Mbowe ingekuwa bahati nzuri????? Angekuwa ndugu yako alikula shaba ungesemaje?


Hujui Nilichokimaanisha! Kwa ufupi tu:
1) Nimemaanisha Kuwa Wanatufumba midomo tusijadili hili tukio Kwa kupretex Kuwa ni Bahati Mbaya

2) Kama Amepigwa Kwa Bahati Mbaya! Sasa Yanini Kusema Wameunda Timu Ya Kuchunguza? Sasa Wanachunguza Nini wakati Wameshacomfirm Kuwa ni Bahati Mbaya?
 

Katika serikali ya Magufuli Dr na Rais wa nchi kuna adui within the system ambao wana mpiga vita kali Rais! Hii ni njia ya kuchafua jina la kiongozi kwani hii pangua pangua, pindua pindua, fukuzafukuza wa vyeti feki na wapiga madili wamo kazini, wanaokosa safari za nje ya nchi, wanashindwa kufanya mikutano ya bodi Dhubai, London, Berlin, Oman wapo kazini, ni wengi mno wamechanganyikiwa kwa kunyanganywa mapande ya minofu ya nyama midomoni, waliozoe kufukuza na kustaafisha watumishi waadilifu na wachapakazi kazi ili wapate mwanya wa kuendeleza madili na wizi kwa mikataba mibovu wapo kazini!!!God Bless Rais Magufuli, kudos Magufuli.
 
You have a point
 
Wewe ni mb.wa tu kama mb.wa wengine unakuja na shitty theories zako hapa
 
Ukiona Askari ameshika bunduki Kaa nae mbali. Bunduki sio kifaa cha kutolea koni au bisi. Bunduki hutoa risasi na risasi hutoa mauti/majeruhi.
Jiweke katika nafasi ya Askari ukiwa umebeba silaha halafu unaona kundi la Wahuni linakufuata.....ungekuwa wewe ungechukua maamuzi gani mkuu? TumainiEl
 
Wangemfukuza huyo mshenzi hapo msibani tu
Mama zima linashindwa hata kufungua domo kukemea polisi
Afu linajifanya kwenda kuhani.. VULVA
Bila aibu eti selikali imepata hasaraa.ya kumsomesha.

Kwake yeye fedha ndo muhimu
 
Ukweli umetajwa humu kuwa walengwa ni Viongozi flani ila akakosea shabaha ikaenda kwenye basi la abiria FULL STOP
 
Mleta mada sijui ukoje? Umejitungia viswali vyako eti askari alikuwa na msongo wa mawazo..mxxxxiwww
 
Nikimwona yule mama kwa picha natamani kumfukuza hapo alipo wanaudhi sana hawa
 
Mwenye clip au picha ya askari aliyepigwa jiwe tafadhari share nasi
 

Kinachotakiwa kwa haraka kipindi hiki ni kujaribu kubadilisha mindset za watu wetu.
Ni lazima kutatua haya matatizo kwa kumlenga mhusika moja kwa moja badala ya serikali kwa ujumla. Watu wanatumia ofisi za uma na madaraka yao kutimiza haja za mioyo na roho zao ovu kwa jina la Raisi, serikali, jeshi la polisi n.k.
Ni muhimu kumlenga mtu binafsi ili iwe fundisho kwa wote wanaofanya uovu kwa kujificha kwenye kichaka cha serikali au mwavuli wa jina la Rais.
Kuna watu wenye fikra kama za wanyama (mfano wa mbwa) ambao kila wanachoambiwa hawawezi kuchanganya na zao.
Haikubaliki kwa namna yoyote ile kutumia risasi za moto dhidi wa wandamanaji, tena sehemu yenye wapita njia wengi.
Ni kweli kabisa tunahitaji askari watiifu,hodari na wazalendo. Hata hivyo, kupiga raia risasi za moto ili kuwatawanya siyo uzalendo hata kidogo.
 
kuna mkuu mmoja walitaka "kumtundu"!!!!
 
Wananchi wote wanasema ni Magufuli na Makonda walitaka kumlaza Mbowe , very pity hawana tene legitimacy ya kucommand watanzania wanataka kumaliza wapinzani hasa viongozi lakini unauliza Tangu Magufuli watu wake wasiojulikana wali mtwanga Lissu risasi 40 je uchumi umeimarika reli ya standard gauge imeisha kiwanja kule chato kimeisha wananchi wamejazwa mapesa mifukoni hakuna roho mbaya tu na uroho wa madaraka
 
PAMOJA NA ALIYEANZISHA MAANDAMANO BILA KIBALI HIYO DAMU IKO JUU YAKE MILELE HACHOMOKI
Una shauri nini, wangeamua kurudi nyumbani bila barua za utambulisho halafu kesho yake mawawaka wakataliwe kuingia kwenye vyumba vya kupigia kura ili wabaki wale wa CCM eeh, ndio mlivyokuwa mmejipanga.
 
Ujinga huu kamwambie mkeo. eti Rais hakutoa amri how do you know au ndo mmeanza kujisafisha hell to u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…