Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Eeeh ile nyimbo daah nilisahau.. et nishike huku.Nishike huku🤣
mtoto wangu hawezi kuimba hivyo mbele yangu haijawahi tokea na haitatokea. Anajua wapi anaweza kuimba hivyo but not in ny presence.Mwanao anaimba "Natamani kuwa singo ila UPWIRU unakaba koo.. MABINTI wenye vifundo ndio wananitoa"
Then anamalizia..
"Mie mbovu sana wa jambo lile nina ufundi wa kutoshaaa..."
Anaimba hiyo mtt wako utamchekea?
Je ukimkuta anasema "We Zombie..." utamchukia?
Rayvanny nje ya WCB hana maajabu...Rayvanny bora angebaki Wasafi sioni kama anatoa nyimbo Kali sikuhizi.
Harmonize ametisha sana mwaka huu Ngoma kama "Single again" na "Sijalewa" ni Kali vibaya mno.
Nadhani "Single again" ingekuwa ya mnaigeria basiii ingeingia kwenye chati za Billboard na kuombwa kolabo juu.
Eee ndo huyo😀Chino wanaman🔥
Chino wanaman🔥
Chino wanaman🔥
Alimchukilia Konde poa akadhani ni rahisi.ana safari ndefu sana alikuwa anamchukulia jeshi ni mtu poa sana wacha apitie maisha nje ya wcb tumuone . Raha nzuri tutampima kwa kuwa hana vuguvugu la ugomvi alipotoka tofauti na mwenzake alivyoondoka asipopanda tutajua hamna kitu.
Wasanii wote (hao A list) hapa Tanzania ni washenzi hawana wanachoimba cha maana.mtoto wangu hawezi kuimba hivyo mbele yangu haijawahi tokea na haitatokea. Anajua wapi anaweza kuimba hivyo but not in ny presence.
Tumeshakujuuua,mapungufu yako🎶🎼🎼🔉🔉Tuweke ushabiki pembeni. Nyimbo za kiba zinaishi kuliko za mondi.
Zinaweza zisiwe hit songs lkn ni nzuri, zenye ujumbe murua. Zina maadili na zinasikilizika na rika lote.
Watabiri wa hali ya hewa kutoka TMA.Ndo wakina nani hawa?
🎵Oyaaa pombe sio sigaraEee ndo huyo😀
Ushawahi kumsikiliza Chino wewe?Wasanii wote (hao A list) hapa Tanzania ni washenzi hawana wanachoimba cha maana.
Inawezekana kabisa😅Wasanii wote (hao A list) hapa Tanzania ni washenzi hawana wanachoimba cha maana.
Sasa yule nae ni yupo ktk A List? Mtu anaimba "Yesa.. yesa.. yesa.. yee!"Ushawahi kumsikiliza Chino wewe?
Yapi hayo? Nyimbo za mondi nasikiliza sana pia, zinanikonga moyo..Tumeshakujuuua,mapungufu yako🎶🎼🎼🔉🔉
Tafadhali Marioo muweke namba moja.1. Diamond Platnumz
2. Alikiba
3. Harmonize
4. Rayvanny
5. Marioo
6. Mbosso
7. Lavalava
8. Whozu
9. Billnas
10. Jux
Kubali kataa 2023
kwahiyo huku simiyu kanda ya ziwa hamuoni celebrites, right?1. Diamond Platnumz
2. Alikiba
3. Harmonize
4. Rayvanny
5. Marioo
6. Mbosso
7. Lavalava
8. Whozu
9. Billnas
10. Jux
Kubali kataa 2023
Eeh..Inawezekana kabisa😅
Ila ndo tunawafurahia na kwenye majukwaa ya kisiasa wanaalikwa kuimba upuuzi huo huo na wazee wako hapo na vitambi vyao wanacheza na kupiga makofi😀😀
Chino wana man 😂Chino nini sijui
Hizohizo ndo wahuni wanaruka nazo.Sasa yule nae ni yupo ktk A List? Mtu anaimba "Yesa.. yesa.. yesa.. yee!"