Top ten Bongo male celebrities (wasanii)

Top ten Bongo male celebrities (wasanii)

Tanzania hatuna somo la maadili wala maadili yenyewe.

Niambie Waziri aliyepata ajali akiwa na mwanachuo akafa yuko wapi?

Mafisadi wa CAG wako wapi?

Au maadili ni kutotaja viungo vya siri pekee?

Tuache kuidanganya dunia kuwa kuna maadili ya Kitanzania.
 
Mwanao anaimba "Natamani kuwa singo ila UPWIRU unakaba koo.. MABINTI wenye vifundo ndio wananitoa"

Then anamalizia..

"Mie mbovu sana wa jambo lile nina ufundi wa kutoshaaa..."

Anaimba hiyo mtt wako utamchekea?

Je ukimkuta anasema "We Zombie..." utamchukia?
mtoto wangu hawezi kuimba hivyo mbele yangu haijawahi tokea na haitatokea. Anajua wapi anaweza kuimba hivyo but not in ny presence.
 
Rayvanny bora angebaki Wasafi sioni kama anatoa nyimbo Kali sikuhizi.

Harmonize ametisha sana mwaka huu Ngoma kama "Single again" na "Sijalewa" ni Kali vibaya mno.

Nadhani "Single again" ingekuwa ya mnaigeria basiii ingeingia kwenye chati za Billboard na kuombwa kolabo juu.
Rayvanny nje ya WCB hana maajabu...

Harmonize kwenye kutunga mashairi[emoji91][emoji91][emoji91]Na ndiyo sababu pale usafini bado anawaumiza vichwa sana.
 
ana safari ndefu sana alikuwa anamchukulia jeshi ni mtu poa sana wacha apitie maisha nje ya wcb tumuone . Raha nzuri tutampima kwa kuwa hana vuguvugu la ugomvi alipotoka tofauti na mwenzake alivyoondoka asipopanda tutajua hamna kitu.
Alimchukilia Konde poa akadhani ni rahisi.

Vanny Boy ili wimbo wake utrend lazima Mond au msanii yoyote wa Usafini awepo.
 
1. Diamond Platnumz
2. Alikiba
3. Harmonize
4. Rayvanny
5. Marioo
6. Mbosso
7. Lavalava
8. Whozu
9. Billnas
10. Jux

Kubali kataa 2023
kwahiyo huku simiyu kanda ya ziwa hamuoni celebrites, right?

Bhudagala hayupo kwenye list, kweli?
 

Attachments

  • budagala.jpg
    budagala.jpg
    96.4 KB · Views: 3
Inawezekana kabisa😅
Ila ndo tunawafurahia na kwenye majukwaa ya kisiasa wanaalikwa kuimba upuuzi huo huo na wazee wako hapo na vitambi vyao wanacheza na kupiga makofi😀😀
Eeh..

Uzuri hawa vijana wanaoziimba na kupanda juu ya meza ndio baadae tunawaita Wazee wa Busara ambao sisi watoto wadogo tutawaomba ushauri....

Uzee ni Umri tu.. akili na utashi hauzeeki.
 
Back
Top Bottom