Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Alikiba mbn mnamtaja taja sana ? Huyo hamna kitu ukisema utaje list ya watu clean.Hizohizo ndo wahuni wanaruka nazo.
Kwan huyo anayeimba "kwa utamu gani hata kwa sabuni naupata"??
Kiufupi hatuna wasanii sikuiz tuna watafuta riziki, wasanii ni akina Hussein machozi, T.I.D na Alikiba
JAIVAAH sema naoNdio maana mie nakula ngoma za mbele tena 80-90s na mwanzon mwa 2000s.
Sitaki kuumizana kichwa mtu anaimba "Supu supu supu JAIVAAH!"
Namkubali since day oneAlikiba mbn mnamtaja taja sana ? Huyo hamna kitu ukisema utaje list ya watu clean.
Kama we mzuri tuma video ukiwa 🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿💔🚮JAIVAAH sema nao
🎵Sisi tunataka uno ndembendembendembendembe
🎵Uno ndembendembendembendembe
EwaaaChino wana man 😂
Hii ngoma ni jau sana, sema sometimes unabidi usikilize vitu vya kukufurahisha sio kila muda nyimbo za mawaidha tuuKama we mzuri tuma video ukiwa 🏃🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿💔🚮
Ha haa mi wala sipigagi kelele, siwezi kupingana na kitu nisichoweza kukicontrol..watajua wenyeweSasa hata hivyo mnapiga kelele mitandaoni lkn watu wanakulana mikei 24/7 huo si uchizi?
wiiiidi....Hizohizo ndo wahuni wanaruka nazo.
Kwan huyo anayeimba "kwa utamu gani hata kwa sabuni naupata"??
Kiufupi hatuna wasanii sikuiz tuna watafuta riziki, wasanii ni akina Hussein machozi, T.I.D na Alikiba
Hivo an , sema hii ngoma chorus ndo unyamaHii ngoma ni jau sana, sema sometimes unabidi usikilize vitu vya kukufurahisha sio kila muda nyimbo za mawaidha tu.
Tumewaiga nyie mliotutangulia.Sasa hata hivyo mnapiga kelele mitandaoni lkn watu wanakulana mikei 24/7 huo si uchizi?
Bad man×2😁👊wiiiidi....
champion boy🤣
Kwa heshima yake anatakiwa kuwekwa namba 1 kwa anacho deliver sio huyo muimba matusi.
Ni kweli mkuu, una tatizo na mimi?
UlizaHapana nilikuwa tu natak kukuuliza kitu ?
Uliza
huyuu mmakonde kiboko jana alikuwa anashangilia taifa stars lile vibe utafikiri sisi ndo tumeshinda. kutrend ni haki yake.Kwenye hao top 5, harmonize ndo katrend sana
View attachment 2821682
Kama una dada yako nipasie atakuja kukupa jibu.unapenda hiyo michezo au
Hakika mkuu, kati ya hao wote sina hata mmoja nnaefatilia habari zake, na huenda "nawafahamu" watatu tu.kweli duniani kila mtu na starehe yake, sasa hao wote si wanaimba matakataka ushetan mtupu hata kuna baadhi ya mashairi ukiyaweka hapa unaweza kula ban. Labda Kiba kidogo ana staha
Hii ngoma juzi wakati namkaza Mke wangu ikaingia kwenye Playlist aisee.. ina vibeJAIVAAH sema nao
🎵Sisi tunataka uno ndembendembendembendembe
🎵Uno ndembendembendembendembe