Top TEN walipa KODI KISEKTA, No Voda, AZAM wala Lake Oil/Kobil/RIZ-One.

Top TEN walipa KODI KISEKTA, No Voda, AZAM wala Lake Oil/Kobil/RIZ-One.

Jamani, uranium bado hawajaanza kuichimba. Tunasubiri mahandaki yatakayo salia km urithi wa watanzania huko Dodoma na Ruvuma
 
Hata kampuni za IPP hazimo?na huyu manji je?
 
The top ten compliant taxpayers from different sectors under the category of large taxpayers included Estim Construction Company Limited (Engineering), NMB (Financial), Sopa Management (Hotels) and TBL (Manufacturing). Others are the Resolute Tanzania Limited (Mining), TPC (Processing and Distribution), Freight Forwarders (T) Ltd (Transportation), Simba Telecom Tanzania Limited (Telecommunication) and Ngorongoro Crater Conservation Area (Tourism).

"Estim Construction" - ni Subhash Patel. am glad kwamba mhindi huyu sasa ameanza kulipa kodi.[/QUOTE]

hivi hatuna sheria ya back taxes.mtu kama huyu amechuma sana,tuanzae kumuhesabia zile alizokua halipi awekewe kama deni.
 
nashangaa sijawaona kina barrick gold na migodi mingine?its only in Tanzania were the impossible can happen
 
"Estim Construction" - ni Subhash Patel. am glad kwamba mhindi huyu sasa ameanza kulipa kodi.

Mimi kichwa kina uma hapa, wako wapi Tigo, voda, airtel na wengine?[/QUOTE]

hata mimi nina ugonjwa huohuo kwenye red! Kwa michanganuo na taarifa za mwaka (annual finacial report) za makampuni ya cm TZ ni siri???? kama ni siri , je Taarifa za kodi zao pia ni siri????? Hili linchi linanuka nuka rushwa, wizi na dhuluma za waziwazi.Kila anayechaguliwa kuwa waziri wa mawasiliano anatulizwa na rushwa, Huko TRA nako kuna uozo uliofichika juu ya hizi kampuni.
 
Maskini nchi yangu makampuni makubwa ndo hayalipi kodi wakati hayo ndo yalikuwa yanatakiwa yawe pioneer katika ulipaji wa kodi kwa mfano south korea hayo makampuni known as Conglomerate maarufu kama chaebol group yaani HYUNDAI, SUMSUNG KIA, LG ndo yanaendesha serikali sisi kwetu AZAM ana maximize profit tuu

Msiwalaumu Bakhresa family angalau wanalipa kodi pale wanaponunua magari ya kifahari...kuna watz wengi wanaficha hela ili waonekane maskini, Bakhresas wanatumia hela kweupe na hii ni ishara ya ulipaji kodi na biashara za wazi. juzi juzi wameingia forbes magazine ikiwa ni ishara nyingine ya ulipaji kodi ya mapato. yule muiran Rostam yuko wapi na ile Caspian yake na Voda? hata nyumba ya kuishi bongo alikua hana nasikia, hawa ndiyo wakwepaji kodi wakubwa TZ.
 
Yani haingii akilini, hawa makambuni ya simu na revenue yote hiyo wanaipeleka wapi? au ndo wanazugia na advertisement and promotion expenses kuubwaa, na pia wanazugua na managemnt fees kwenda kwa kampuni mama kama coca cola wananvyofanya?? Huu uhuni!
 
Mmhhhhhhhhhhhhh...........................................!!!!
Hii inanipasua kichwa vipande vipande, yaani nakosa wapi pa kuegemea!!!!
Mfumo wa kiuchumi wa taifa letu unahitaji restructuring kubwa sana from the family level as a baby is born to the national level as a person is an adult as a top leade of the nation, i mean a president!!
Otherwise tutegemee kuingia kwenye kitabu cha guinness book of records kama taifa la kulalamika bila kuchukua hatua, while wanaona kwa macho yao hatua za kuchukua!!

Nashauri tuanze kama individuals itachukua miaka mingi hadi kwenye level ya kifamilia na hatimae kama taifa kwa kizazi kijacho, although it takes time but there is no quick option!!
Thank you.
 
Hivi TRA wako wapi?? Kampuni inaweza kutoa msaada pesa nyingi namna hii lakini kwenye list ya walipa kodi hawapo ??...

kodi.jpg
 
Mjadala bila kujua namna makampuni yanavyofanya kazi itakuwa upotoshaji tu... mfano usitegemee group companies kama IPP, S.S. Bakheresa, SUMARIA to be in top tens..........b'se they have several companies under them and those are the one recognized by TRA.
 
Hilo halijaniingia kutosha kwa sababu Ice-cream bag huwezi kulinganisha thamani yake na mteja mmoja mbuga ya wanyama hoteli number one duniani ambaye analipa zaidi ya $ 1200 kwa siku. Au gharama ya kutengeneza barabara moja kwa siku kama utaweza kulinganisha na bidhaa za Ice-cream inayouzwa kwa siku. Ni mawazo yangu tu kwa kupima mapana na marefu katika mapato ya makampuni hayo ambayo hulipa kodi.

Food manufacturing kuna baadhi ya uharibifu au kurudishwa na wateja ambavyo hutupwa, navyo huingizwa kwenye mahesabu ambayo yanapunguza kodi, haya hayakwepeki po pote kama restaurant chakula kisichonunuliwa kitatupwa na hiyo inakuwa included ya hasara za restaurant ambacho automatically zitaathiri malipo ya kodi.

Tusiangalie ukubwa wa nyumba, bali dhamani ya vilivyomo.
TRA wamegawa haya makampuni ki sekta, hivyo BAKHRESA alitakiwa kuwa among walipa kodi wakubwa. Usisahau ni Kati ya matajiri wakubwa Africa, ikiwa na maana anazalisha sana pia.
Queen Esther
 
Mjadala bila kujua namna makampuni yanavyofanya kazi itakuwa upotoshaji tu... mfano usitegemee group companies kama IPP, S.S. Bakheresa, SUMARIA to be in top tens..........b'se they have several companies under them and those are the one recognized by TRA.

Unaniangusha yani VODA, TOGO, TTCL na AItel wanzidiw ana Simba Telecom Tanzania Limited (Telecommunication) ?
Haiwezekani kamwe labda kuna kitu hatukijuhi.

Wako wapi TANESCO? SOGAS? IPTL, SYMBION watu wanalipwa over 200 Mil kw asiku ila humu hawaonekani kwa nini?
 
Mjadala bila kujua namna makampuni yanavyofanya kazi itakuwa upotoshaji tu... mfano usitegemee group companies kama IPP, S.S. Bakheresa, SUMARIA to be in top tens..........b'se they have several companies under them and those are the one recognized by TRA.

Unaniangusha yani VODA, TOGO, TTCL na AItel wanzidiw ana Simba Telecom Tanzania Limited (Telecommunication) ?
Haiwezekani kamwe labda kuna kitu hatukijuhi.

Wako wapi TANESCO? SOGAS? IPTL, SYMBION watu wanalipwa over 200 Mil kw asiku ila humu hawaonekani kwa nini?
 
Back
Top Bottom