Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Tatizo wabongo tunapima ku!
!
yaani hicho kimombo ni cha ajabu sana...najiuliza kafauluje huyu sipati jibu
Tatizo wabongo tunapima ku
elimika kwa mtu kwa kuyumia kiingereza.. Tunasahau kuwa huko Uingereza, vichaa nao wanaongea kiinglishi
samahani nimekosea.... Ni kutumia na si kuyumiaKuyumia, ndio nini?
Chuo cha Kisasa na kikubwa hicho ndio kinapelekea kuwa chuo cha kata
UDOM is a very local university.
1.Not in social media
2.affiliations and membership not reported
3.academic structure not reported and recognized internationally
4.academic calender not available for international audience- no academic staff range
5.courses, academic staff profile in most colleges not accessible
6.Graduates programs quality (PhDs and Masters) questionable.
7.selection percentage not reported.
8.Unreported/unclear academic staff succession plan criteria, poor academic staff management for safe guarding academic standards and quality improvement
9.You name it...........:disapointed::banplease:
mi nahisi kuna ndugu yake alisoma pale udom akadisco ndo huwa anamtumia kuchafua jina la chuo.yeye kama nikimpendelea sana ana kachet ka form four, tusimlaumu saana .hivi mkuu una matatizo gani na udom?maana thread zako zote ni kukisema udom tu hebu niambie shida nn?
!
!
sio kwamba sikiheshimu hiki chuo ila graduates wake duh...........yaani kuna binti kapata kazi hapa ofisini kwetu kwa kupigiwa pande na anko wake duh ni majanga. Kesho nitapost barua yake ambayo kawapiga watu barua ya onyo kwa kimombo hahahahahaha kaanko kangu ka darasa la sita pale st annie kanamtoa nishai mbaya
Hivi hakuna primary ya kata tukailinganisha nayo...
vpi MUHAS???