Top Universities in Tanzania 2013 List of top universities in Tanzania, United Republic

Top Universities in Tanzania 2013 List of top universities in Tanzania, United Republic

UDOM is a very local university.
1.Not in social media
2.affiliations and membership not reported
3.academic structure not reported and recognized internationally
4.academic calender not available for international audience- no academic staff range
5.courses, academic staff profile in most colleges not accessible
6.Graduates programs quality (PhDs and Masters) questionable.
7.selection percentage not reported.
8.Unreported/unclear academic staff succession plan criteria, poor academic staff management for safe guarding academic standards and quality improvement
9.You name it...........:disapointed::banplease:

kwenden zenu huko tumien akili achen kuchaf hazina za taifa. ninawaswas na ka.niii..sa u.na.lo.*li pengine huko umekaririshwa hivyo
 
Nilijua tu degree holders wakiwa wengi wataanza kuchambuana kama karanga, mambo si haya..???!!
 
hivi mkuu una matatizo gani na udom?maana thread zako zote ni kukisema udom tu hebu niambie shida nn?
mi nahisi kuna ndugu yake alisoma pale udom akadisco ndo huwa anamtumia kuchafua jina la chuo.yeye kama nikimpendelea sana ana kachet ka form four, tusimlaumu saana .
 
!
!
sio kwamba sikiheshimu hiki chuo ila graduates wake duh...........yaani kuna binti kapata kazi hapa ofisini kwetu kwa kupigiwa pande na anko wake duh ni majanga. Kesho nitapost barua yake ambayo kawapiga watu barua ya onyo kwa kimombo hahahahahaha kaanko kangu ka darasa la sita pale st annie kanamtoa nishai mbaya

Kiingereza sio kazi ya udom. Nafanya kazi na mtu wa mzumbe alishindwa kuandika report ya kiingereza.
 
Anzisha uzi mwingine we mzee wa majungu kuchwao machweo. Kamwe huwez zuia mvua kunyesha! Najua roho zinauma sana ila ndo ivo tena saivi hakuna ukiritimba ktk elimu ya bongo kama zamani. Enzi hizo kulkuwa na ttcl na saivi kuna voda,tigo,zantel,airtel n.k na hao ttcl wako hoi bin taaban wamebaki kulalama eti hawa watoto wa juzi tu mbona nahisi wanabebwa na hawalipi kodi, mara hawajui na hawana akili ya biashara, ooh sisi ndo waanzilishi wa huduma hii bongo! Ili mradi tu kuchachafya! Haya wajameni kuongea tu haitoshi tukutane mtaani tuone nani anajua ndo ufyate mkia wako na ufunge behewa lako! Upo hapo we kibibi ooh sorry ! Kibabu!
 
kwenden zenu huko tumien akili achen kuchaf hazina za taifa. ninawaswas na ka.niii..sa u.na.lo.*li pengine huko umekaririshwa hivyo
Sijakuelewa wataka kucheza nini?
Udom.jpg

Udoms.gif
 
nilpo maliza shahada yangu hapa UDSM nilmface Dr, anishauri kuhusu (M,A)akaniambia nisome hapa au mzumbe lakini UDOM kwa sababu bado chuo kichanga hata supervision yake utata kdogo.
 
"Sir Mushi..." Kumbe mtoa mada ni kama Sir Elton John tu, zao la cameroon. Kushika ukuta sio kitu kizuri, ndio kumekuletea hii mental retardation
 
Back
Top Bottom