sikajiji
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 588
- 113
halafu ungejua kwanza unaongea na nani ndiyo uulize chanzo. Lakini pia unafikiri mimi nina chuo kikuu mpaka nione wivu kwa UDOM,wivu wa vipi na wewe unafikiri una utetezi ni kwa anufaa ya nani. Dunia ya leo mertic nje nje halafu unauliza source are you illiterate? mfano bofya hapa kwa ushamba wa info. just aclue Tanzania, United Republic of | Ranking Web of UniversitiesSource ya maelezo yako ikipatikana ntathibitisha la haikupatikana bac utakuwa na JELOUS(WIVU) na UDOM sema endelea kukipandisha chat tu endelea tena na tena mkuu..