Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
1-Dar es salaam.
2-Pwani
3-Morogoro
4-Dodoma
5-Tanga
Chanzo :jukwaa la ndoa Tz
2-Pwani
3-Morogoro
4-Dodoma
5-Tanga
Chanzo :jukwaa la ndoa Tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe dar kuna lose ball nyingi jamani....mie nataka mwanamke aliyeachika1-Dar es salaam.
2-Pwani
3-Morogoro
4-Dodoma
5-Tanga
Chanzo :jukwaa la ndoa Tz
Wingi wa watu pia unachangia ratio inaweza kua ndogoKumbe dar kuna lose ball nyingi jamani....mie nataka mwanamke aliyeachika
Ndo kiwanda cha production ya makungwi lakini hali ni teteIla Pwani kule watu hawajiulizi mara mbili kuhusiana na talaka.Tena kama vijana wa siku hizi moyo wa huvumilia hamna kabisa.
Kwenye miti hakuna wajenzi.Ndo kiwanda cha production ya makungwi lakini hali ni tete
Afu kule ni ndugu zetu waslamu talaka zao azina mambo mengi.Ila Pwani kule watu hawajiulizi mara mbili kuhusiana na talaka.Tena kama vijana wa siku hizi moyo wa huvumilia hamna kabisa.
Kwahiyo hii ndio mikoa ambayo wanaume wanaishi muda mrefu kuliko mingine...?1-Dar es salaam.
2-Pwani
3-Morogoro
4-Dodoma
5-Tanga
Chanzo :jukwaa la ndoa Tz
Haina haja ya kuvumilia matatizo mwisho ufe siku si zako. Kama hamuelewani bora kila mtu ashike 50 zake. Mambo ya kuvumiliana huku unakufa na tai shingoni yamepitwa na wakati! Maisha ni mafupi sana kuendelea kukaa sehem ambayo upendo na amani imetoweka.Ila Pwani kule watu hawajiulizi mara mbili kuhusiana na talaka.Tena kama vijana wa siku hizi moyo wa huvumilia hamna kabisa.