Top ya madada wenye Chura za haja hapa JF

Top ya madada wenye Chura za haja hapa JF

1😀emiss
Huyu atakuwa na Chura flani hivi amaizing imebinuka kwa juu ambayo mtoto wa kiume ukiingia kichwa kichwa lazima uliwe hapo maana huwezi kuchomoka,

Nafikiri wanateseka sana wale waheshimiwa wa pale dodoma punde tu apitapo huyu bidada .

2:Mama Sabrina.
Huyu anaonyesha tu kachura kake ka mkopo maana kana shawishi unaweza kumchukua na kwenda nae bank ukaombea mkopo bila mashart yeyote.

3:sky Eclate .
Huyu siyo mzee kama mnavyofikiria huyu ni type ya kina wema sepetu Chura yake imejigawa na hipsi za kutosha hapa ukiwa na Vitz yako utaona Aibu ata kumpa lift utabaki unajisemea tu kwa nini haukuwekeza na mwisho uje kumiliki ata BMW.

4:Shunie
Huyu Chura yake ni ile akitembea basi kama mko kijiweni wote macho kwake ni ya kutingishika balaa hapo usijiroge ukaenda nae mpaka ATM nakwambia utatetemesha Noti mpaka na hiyo kadi utamuachia.

5:Mumu
Huyu ndio nashindwa kabisa ata nimuelezaje maana ni balaa na kale kachura kake akivaa nguo flani hivi kanajichora yaaani usidhubutu kumpeleka kwenu hapo utaonga mpaka Nyumba ya urithi.

Ukiwa nae huyu unatakiwa kuwa na uangalizi wa Ziada.

6:


Endelezeni Ligi....................!
mbona wote ume wasifia ila shinie nina wasi wasi nae bora Sky Eclat
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi siamini shogaangu nimepata chura mimi mumu mimi aki leo nalipia bar nzima gambe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mm mwenyewe kila mara nageuka kujiangalia hivi ni shunie mm kweli huyu chura wote ni wangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi siamini shogaangu nimepata chura mimi mumu mimi aki leo nalipia bar nzima gambe
 
Back
Top Bottom