BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Hapo unakuta pembeni kuna boonge la bakuli la maharage anakula anaenda kujamba jamba kitandani tu..Duh mkuu haya mav* ya tembo[emoji23] [emoji23] halafu umeziona hizo chapati wanaume hawa wanakula chapati kumbe nao.
Mkuu wanaume wa Pwani wanakuwa upande upi wa dar au mikoani. Nataka kuweka uzi wao wanao kogeshwa na maji ya mawaridi na midalasini[emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kisha wanaingia vichakani..
View attachment 375114 Duuh sasa ukila hii utajisaidia nn maana kipo kama ma** tayari
Kijijini bwana
Haha kama wanaUwezo wakupakia madude makubwa na magumu hvo basi na uwezo wakuyatoa vzr wanao haha [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Duh!! alafu utakuta wenyewe wanajisifu kwamba akila mwanaume wa Dar lazima fanyiwe operesheni.Kisa?wanaringia uwezo wao mkubwa wa kuyashusha bila matatizo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]Nimepitia threads mbali mbali za vijana wa mikoani(vijijini) wakijinasibu kwa kula vyakula vigumu, eti vinatia nguvu (!?) ikiwemo za kiume huku wakitulalamikia eti wanaume wa Dar hatuna nguvu(wanaolalamika wanaume lakini) wana insist chakula cha chips.Dar kuna vyakula vingi mfano ugali sembe,pilau,wali,biriani,pweza,samaki,ngisi,chapati,kahawa,chips,kuku,mayai,dagaa kamba,matembele,sukuma wiki,mnafu n.k. Amini nakwambia kama uko kijijini unashindia michembe,kichuli,dagaa,fulu,mbege,komoni na kende za mbuzi toroka uje mjini ufaidi maisha.Toroka haraka uje mjini..
1.Vyakula vya Mjini
View attachment 375084
pilau
View attachment 375085 View attachment 375087
Pweza na supu yake na limao pembeni
View attachment 375088
viazi vya kuaanga/chips
View attachment 375089
biriani
View attachment 375090
kabab
View attachment 375092
mishikaki
View attachment 375093
Samaki wa baharini aina ya ngulu,tango na kitunguuView attachment 375094
ugalu samaki
VS
2.Vyakula vya kijijini
View attachment 375095 View attachment 375098
ugali wa udaga
View attachment 375101
Dona,bamia,mwziwa
View attachment 375102
Michembe
Vya kijijini afyaaNimepitia threads mbali mbali za vijana wa mikoani(vijijini) wakijinasibu kwa kula vyakula vigumu, eti vinatia nguvu (!?) ikiwemo za kiume huku wakitulalamikia eti wanaume wa Dar hatuna nguvu(wanaolalamika wanaume lakini) wana insist chakula cha chips.Dar kuna vyakula vingi mfano ugali sembe,pilau,wali,biriani,pweza,samaki,ngisi,chapati,kahawa,chips,kuku,mayai,dagaa kamba,matembele,sukuma wiki,mnafu n.k. Amini nakwambia kama uko kijijini unashindia michembe,kichuli,dagaa,fulu,mbege,komoni na kende za mbuzi toroka uje mjini ufaidi maisha.Toroka haraka uje mjini..
1.Vyakula vya Mjini
View attachment 375084
pilau
View attachment 375085 View attachment 375087
Pweza na supu yake na limao pembeni
View attachment 375088
viazi vya kuaanga/chips
View attachment 375089
biriani
View attachment 375090
kabab
View attachment 375092
mishikaki
View attachment 375093
Samaki wa baharini aina ya ngulu,tango na kitunguuView attachment 375094
ugalu samaki
VS
2.Vyakula vya kijijini
View attachment 375095 View attachment 375098
ugali wa udaga
View attachment 375101
Dona,bamia,mwziwa
View attachment 375102
Michembe