Punguani mkubwa.Safari hii tunshitaji wazawa tu, nyinyi rudini kwenu
Utatukana sana mwaka huu lkn unapigwa spana tu hadi pale utakapo kili kuwa kuramba viatu ni utumwa na hutorudia.Punguani mkubwa.
Punguani mkubwaUtatukana sana mwaka huu lkn unapigwa spana tu hadi pale utakapo kili kuwa kuramba viatu ni utumwa na hutorudia.View attachment 1755628
Vp tena!uzi wa mayala na TOTAL imeingia siasa nini [emoji23][emoji23][emoji23]Punguani mkubwa
Tunashukulu umeludi bwana Mayala.
Tunakuomba pia kwa unyenyekevu mkubwa Sana uandike madam kuhusu nchi yetu no nini kifanyike ili tuzidi kwenda mbele hasa kimaendeleo.
Tunakutegemea Sana utupe zile makala zako za "KWA MASILAHI YA TAIFA".[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]