Total Wampongeza Rais Samia, "Urais wa Samia, Waipaisha Tanzania Kimataifa", Yawahamashisha Watoto wa Kike Kusoma Kwa Bidii, Wawe Kama Samia!.

Tunashukulu umeludi bwana Mayala.
Tunakuomba pia kwa unyenyekevu mkubwa Sana uandike madam kuhusu nchi yetu no nini kifanyike ili tuzidi kwenda mbele hasa kimaendeleo.

Tunakutegemea Sana utupe zile makala zako za "KWA MASILAHI YA TAIFA".[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Naona sasa umeanza kupatapata vikazi vya kufanya baada ya yule kichaa alietuaribia nchi kuondoka. Ni kichaa pekee ndo anaweza kuwalaza watoto wake njaa eti kisa anajenga nchi.

USA ilianza kujengwa 1781 walipopata uhuru na mpaka leo hawajamaliza kujenga, fikiria wangewanyima wafanyakazi stahiki zao kisa wanajenga miundombinu ingekuaje?
 
Tunajua unalipwa na TOTAL, lakini this is way too cheap for you.... taulo za kike.!
 

Njaa kali na ishahamia kichwani kwake, hana uwezo wa kufikiria vema.... ni sawa tu na wewe usiyejua hata kuandika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…