MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,675
- 33,583
Wakuu,
Hii ni vita kamili, Total War! National Al Ahly ni klabu ya tatu kwa ubora duniani na tunaheshimu hilo ila Jumanne ijayo kwetu ni vita kamili! Vitapiganwa vita kamili pale kwa Mkapa!
Hii vita hawatapigana wachezaji tu pale uwanjani, tutapigana kila shabiki, kiongozi na Mtanzania mwenye mapenzi mema. Tutawafirigisa hadi mtuweke kwenye Piramids Mesium zenu!
Total War in Dar ni mapigano ndani ya ardhi yetu wenyewe na hatutokubali mtoke salama! Jiandaeni kwa TOTAL WAR IN DAR, VITA KAMILI! MAPIGANO KAMILI!
LAZIMA KIELEWEKE!!!!
Hii ni vita kamili, Total War! National Al Ahly ni klabu ya tatu kwa ubora duniani na tunaheshimu hilo ila Jumanne ijayo kwetu ni vita kamili! Vitapiganwa vita kamili pale kwa Mkapa!
Hii vita hawatapigana wachezaji tu pale uwanjani, tutapigana kila shabiki, kiongozi na Mtanzania mwenye mapenzi mema. Tutawafirigisa hadi mtuweke kwenye Piramids Mesium zenu!
Total War in Dar ni mapigano ndani ya ardhi yetu wenyewe na hatutokubali mtoke salama! Jiandaeni kwa TOTAL WAR IN DAR, VITA KAMILI! MAPIGANO KAMILI!
LAZIMA KIELEWEKE!!!!