GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Popoma katika ubora wakeKatuchambisha la Kwanza na ilikuwa kidogo tena atuchambishe na la Pili sema Babu nae alikuwa anajitahidi Kutuokoa.
Mwambieni Inonga kuwa nina Taarifa za ndani kuwa anataka kuondoka Simba SC kwa Kuzuga anaenda Ulaya kisha baadae anahamia kwa Wanaoenda Kumnyoosha vilivyo Mamelodi Sundowns FC leo Usiku.
Hivyo basi asitukomeshe sana na kwa Makusudi kutuharibia ( kutuchambisha ) kama alivyotufanyia leo.
Nadhani humu JF ni Mimi na wewe labda na 1979Magifuli tunaomkosoa huyu Mkongomani. Inonga ana madhaifu kadhaa na mengi yanatokana na kupenda sifa kupitiliza. Lingine ni kushindwa kuzuia Kross za chini hasa zimazotokea kushoto.Katuchambisha la Kwanza na ilikuwa kidogo tena atuchambishe na la Pili sema Babu nae alikuwa anajitahidi Kutuokoa.
Mwambieni Inonga kuwa nina Taarifa za ndani kuwa anataka kuondoka Simba SC kwa Kuzuga anaenda Ulaya kisha baadae anahamia kwa Wanaoenda Kumnyoosha vilivyo Mamelodi Sundowns FC leo Usiku.
Hivyo basi asitukomeshe sana na kwa Makusudi kutuharibia ( kutuchambisha ) kama alivyotufanyia leo.
Anapenda sifa alikua anadhani hao ni JwanengNadhani humu JF ni Mimi na wewe labda na 1979Magifuli tunaomkosoa huyu Mkongomani. Inonga ana madhaifu kadhaa na mengi yanatokana na kupenda sifa kupitiliza. Lingine ni kushindwa kuzuia Kross za chini hasa zimazotokea kushoto.
Kingine kwenye mechi ya Jana goli lile limeanzia kwenye madhaifu ya Zimbwe. Ile sliding tackle inakuwa nzuri ukipatia, lakini ukikosa inakuwa disaster. Kuokoa Kwa kuangukà chini hakukupi nafasi ya kusahisha makosa maana mpaka uinuke madhara yashatokea.
[emoji23][emoji23][emoji23] bado hamjasemaMbona kina mzee Saidoo, kichaa kibu, legelege chama na jambazi kanoutee wamekosa mabao ya wazi na hamuwalaumu? Ila inonga tyuuh?
Mbona hicho kimbau mbau zimbwe ndo kilichosababisha tufungwe bao? Yaan toka amuoe yule bibi muhindi koko wa upanga na mpira unamkataa mfyuuuh.
Tutasema baadae, kaa kwa kutuliaa weyee 😂😂😂😂
Kama Aliyekuzaa UNCIRCUMCISED BABOON Wewe.
Upo sahihi kwanza Zimbwe anapenda kuingia Kati badala ya kukaa pembeni.na.ndiye anasababisha magoli mengi kwa kufanya beki ya Kati ikatike, pili Inonga anajifanya star eneno Kama lile beki alitakiwa kuosha yeye akaleta madoido, binafsi ni heri Simba wamuuze walete beki katili na pia shabalala muda mrefu alitakiwa .kupewa mbadala.Nadhani humu JF ni Mimi na wewe labda na 1979Magifuli tunaomkosoa huyu Mkongomani. Inonga ana madhaifu kadhaa na mengi yanatokana na kupenda sifa kupitiliza. Lingine ni kushindwa kuzuia Kross za chini hasa zimazotokea kushoto.
Kingine kwenye mechi ya Jana goli lile limeanzia kwenye madhaifu ya Zimbwe. Ile sliding tackle inakuwa nzuri ukipatia, lakini ukikosa inakuwa disaster. Kuokoa Kwa kuangukà chini hakukupi nafasi ya kusahisha makosa maana mpaka uinuke madhara yashatokea.