Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnaharibu arrrg.....hapa tunamuongelea shori mkali wa kisukuma wa pili kushotonaona lundenga ameamua kudhihirisha kuwa hana mpango wa kutwaa taji la dunia!maana mmh japo japo nishakua ajuza lkn nawahakikishieni nikipanda jukwaani la miss world hata kama sitashinda lkn sitakosa final 3.
kadiri siku zinavyokwenda ndivyo lundenga anavyopeleka mamiss waliochoka huko miss world.
huyo genevieve anaonekana kala chumvi ya kutosha.
mnaharibu arrrg.....hapa tunamuongelea shori mkali wa kisukuma wa pili kushoto
![]()
ubarikiwe....samahani weye ndio wa kwenye avatar? ni PM tafadhali....
hell noooooo....mna vitambi....
"did he hit the nail on the coffin?" basi mriport kwa modstafadhali tutake radhi....huu ni unyanyasaji wa kijinsia
"did he hit the nail on the coffin?" basi mriport kwa mods
Kakomaa lakini!!shori mkali aisee......wa kulia bana
![]()
lolz
will do
HAKUNA KITU HAPA..! MARIA ROZA TUWAKILISHE MWAKANI PLZZ..! ila hiyo picha ya MR kama sio ya kuchakachua sijui..!
Huyo namba 2 hapo,hiyo inaitwa fashion suicide.halafu ndo mtindo siku hizi kuvaa bra ya kawaida undersize badala ya pushup!hawa wadada wanakuwaga na wardrobe managers au kila mtu anajishonea tuviwalo twake mtaani kwao?mnaharibu arrrg.....hapa tunamuongelea shori mkali wa kisukuma wa pili kushoto
![]()
hakuna kitu hapa..! Maria roza tuwakilishe mwakani plzz..! Ila hiyo picha ya mr kama sio ya kuchakachua sijui..!
.shori mkali aisee......wa kulia bana
![]()
lolz
Im so cute aisee:tonguez::tonguez: Mwakani nawakilisha:A S wink:
hata mimi natia mkono, maria rose please do the needful,ebu tuwakilishe mwakani aisee!!!!! Naamini utashika namba..
.....
![]()
tafadhali tutake radhi....huu ni unyanyasaji wa kijinsia