Toto la kisukuma wallah

kumbe usu kumani kuna matotozi........
 
naona lundenga ameamua kudhihirisha kuwa hana mpango wa kutwaa taji la dunia!maana mmh japo japo nishakua ajuza lkn nawahakikishieni nikipanda jukwaani la miss world hata kama sitashinda lkn sitakosa final 3.
kadiri siku zinavyokwenda ndivyo lundenga anavyopeleka mamiss waliochoka huko miss world.
huyo genevieve anaonekana kala chumvi ya kutosha.
 
mnaharibu arrrg.....hapa tunamuongelea shori mkali wa kisukuma wa pili kushoto
 
mnaharibu arrrg.....hapa tunamuongelea shori mkali wa kisukuma wa pili kushoto
Huyo namba 2 hapo,hiyo inaitwa fashion suicide.halafu ndo mtindo siku hizi kuvaa bra ya kawaida undersize badala ya pushup!hawa wadada wanakuwaga na wardrobe managers au kila mtu anajishonea tuviwalo twake mtaani kwao?
 
hata mimi natia mkono, maria rose please do the needful,ebu tuwakilishe mwakani aisee!!!!! Naamini utashika namba..

hakuna kitu hapa..! Maria roza tuwakilishe mwakani plzz..! Ila hiyo picha ya mr kama sio ya kuchakachua sijui..!
 
shori mkali aisee......wa kulia bana



lolz
.
Hiyo image ya 'Dear Leader' kwenye background (hapo katikati) iko kinamna ... ni kama picha hii ina malengo mengine fulani vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…